Azam amefuta other channels?

Azam amefuta other channels?

Kule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.

Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
Ukiondoa other channels hujaona nyingine za Kikristo
 
Nisha-experience hii, kuna siku nililipa kifurushi kwaajili ya kutazama Emmanuel tv na Roc tv lakini zikawa hazipo, nikagundua unakuta wapo walio na visimbuzi kwenye mji mwingine zinapatikana.
 
Ukiondoa other channels hujaona nyingine za Kikristo
zipo ambazo sizipendi, kuna mwamposa na nabii suguye, hao wote kwangu mimi siwezi kuwasikiliza. kuna ukatoliki na usabato ambao nawaweka kwenye fungu moja na mwamposa na suguye.
 
hazipo, ila sema ni tv yake, anaweza kuamua kufanya lolote, sema shida ipo kwetu sisi tunaonunua king'amuzi chake na kulipia kifurushi. tunatakiwa kufanya uchaguzi sahihi ili akifunga yeye tunaenda kwa wengine, akifungua tunarudi.
 
Wewe kama Mteja na kuna Wateja wengi kama wewe umejaribu kuwasilisha maoni / masikitiko yako kwao na kuuliza ni kwanini wamefanya walichofanya ?
 
hazipo, ila sema ni tv yake, anaweza kuamua kufanya lolote, sema shida ipo kwetu sisi tunaonunua king'amuzi chake na kulipia kifurushi. tunatakiwa kufanya uchaguzi sahihi ili akifunga yeye tunaenda kwa wengine, akifungua tunarudi.

Jaribu kufanya auto search ya Channel unaweza kuzipata mana mimi hapa kwenye Azam Tv nayotumia hadi muda huu zipo.
 
Kule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.

Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
Shida ya hawa wenzetu Udini ni mwingi amejitokeza mwekezaji mwingine ingekuwa vizuri mtu unakuwa na option
 
Kule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.

Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
malawama ya kijinga jinga na umaskini !!! mbona mimi zipo
 
Back
Top Bottom