Ukiondoa other channels hujaona nyingine za KikristoKule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.
Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
zipo ambazo sizipendi, kuna mwamposa na nabii suguye, hao wote kwangu mimi siwezi kuwasikiliza. kuna ukatoliki na usabato ambao nawaweka kwenye fungu moja na mwamposa na suguye.Ukiondoa other channels hujaona nyingine za Kikristo
Nimea check Sasa hivi, hakuna other channels.Mbona kwangu other channels zipo. Jaribu kusearch upya channels
Wavaa vijora mnashida sana 🤣🤣🤣🤣🤣Sasa kama kanisa linaupigia Debe ushoga kwanini zisifutwe??
Unataka watoto wetu wawe wanafundishwa ushoga huko Azam??
hazipo, ila sema ni tv yake, anaweza kuamua kufanya lolote, sema shida ipo kwetu sisi tunaonunua king'amuzi chake na kulipia kifurushi. tunatakiwa kufanya uchaguzi sahihi ili akifunga yeye tunaenda kwa wengine, akifungua tunarudi.
UpindeWavaa vijora mnashida sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Shida ya hawa wenzetu Udini ni mwingi amejitokeza mwekezaji mwingine ingekuwa vizuri mtu unakuwa na optionKule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.
Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
Achana na huyo kenge hajui analojia.mihemuko yake ndo inampeleka hukoUtakuwa ulishaleft group aka punga
Unaevidence yoyote ya catholic kusapoti ushoga?
malawama ya kijinga jinga na umaskini !!! mbona mimi zipoKule kuna channel za kikristo nyingi, kwenye other channels amebakisha moja tu ya kiislam. NIlitamani ziendelee kuwepo manake kuna mahuburi sisi wengine huwa tunasikiliza kule. Laiti kama angekuwa amefuta kabla sijalipia kifurushi ningeshukuru. Kwangu hakuna shida kwasababu nina option ya DSTV ndiko nitakakohamia.
Sijui yule mzee wa TING Mchungaji Fernandez aliishia wapi na kile king'amuzi chake, atusambazie ili tusihangaike na hivi vingine ambavyo hawatoi kwa moyo ni hayo tu.
Kanisa gani shekh?Sasa kama kanisa linaupigia Debe ushoga kwanini zisifutwe??
Unataka watoto wetu wawe wanafundishwa ushoga huko Azam??
We nabii hulijui kanisa??Kanisa gani shekh?
Mimi sio nabiiWe nabii hulijui kanisa??
Mimi ni shehk wa wapi??Mimi sio nabii
Sababu ni nini? Walikufanyaje?kuna mwamposa na nabii suguye, hao wote kwangu mimi siwezi kuwasikiliza.