Azam amfunga Singida United goal 7-0 ashika nafasi ya pili

Azam amfunga Singida United goal 7-0 ashika nafasi ya pili

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Azam imeishindilia goal 7 timu ya Singida United kwa nunge huku chirwa akitupia goal 4 mawili akifunga nado na 1 Ni lakujifunga.Kwa maana hiyo Azam amerudi kwenye nafasi yake ya pili na kumtoa Yanga.
 
Washabiki wa upotolo walikuwa wanalazimisha mechi yao ionyeshwe sababu wanapigania nafasi ya pili wao na azam nikashangaa
 
Mtaliiba?
Kocha wa utopolo alikuwa anaomba msaada kwa makocha wenzake mechi ya julai 12 na simba wakamwambia awatumie mikanda ya mechi za simba na yanga walipoangalia jinsi simba inavyocheza na wachezaji wa utopolo wanavyocheza wakamwambia wanachoweza ni kumpa mbinu za kupunguza magoli na sio kupata draw au kushinda
 
Azam imeishindilia goal 7 timu ya Singida United kwa nunge huku chirwa akitupia goal 4 mawili akifunga nado na 1 Ni lakujifunga.Kwa maana hiyo Azam amerudi kwenye nafasi yake ya pili na kumtoa Yanga.
Dah naona Singida Utd kaamua kushuka daraja kwa kishindo[emoji23][emoji2]
 
Back
Top Bottom