Azam sijawahnkuwaelewa team inakila kitu ila uwanjani hawachezi mpira wa maana..Mpaka sasa inaenda half time azam anaongoza goli moja kwa 0 lakin wameshakosa magoli manne ya wazi kabisa.All the best azam hamna baya.
gapi gapi hukoo mkuu?,Mo Dewji voiceAzam go go go.
Azam 2Hii game ngapi ngapi hadi sasa mnaoitazama?
Azam 2
Hii game ngapi ngapi hadi sasa mnaoitazama?
Leteni update jamani nitafurahi mno azam akitoboa maana yanga ni uhakika.
Wanaongoza 2 bilagapi gapi hukoo mkuu?,Mo Dewji voice
Ugenini azam alipigwa ngapi?Dk ya 88 Azam 2 Alkh 0
Ikiisha hivi nan anapita?Wanaongoza 2 bila