Azam animalistic kuwavuruga Yanga, atahamia upande wa pili na ndio tutaheshimiana

Azam animalistic kuwavuruga Yanga, atahamia upande wa pili na ndio tutaheshimiana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa sasa Makolo wanafurahia haya yanayoendelea Yanga ila nawashauri wafurahie pia pale jeuei ya pesa za Azam zitapotumikia dhidi yao.

Tetesi ni zaidi ya mchezaji mmoja wa Yanga kwenda Azam na hapa ndio utajua nguvu ya pesa inataka kutumika kuwavuruga Yanga.

Ubora wa Yanga unawatesa sana watu sasa wameamua kutumia haki ya mchezaji kusajiliwa na timu nyingine yoyote kupitia usajili wa dirisha dogo kutaka kuwavuruga Yanga.

Tujiulize, wachezaji wote wa Azam wanalipwa vizuri kama wanavyotaka kumlipa Fei hata kama kila mchezaji analipwa mshahara kulingana na walivyokubaliana?

Akimalizana na Yanga, atahamia Makolo FC amchukue Chama na Mosses msimu ujao unless Makolo wasiwe tishio kwao kama ilivyo Yanga hivi sasa.

Time will tell.
 
Kinachokupa stress kinatoka wapi
Screenshot_20221224-180212.jpg
 
Kwa sasa Makolo wanafurahia haya yanayoendelea Yanga ila nawashauri wafurahie pia pale jeuei ya pesa za Azam zitapotumikia dhidi yao.

Tetesi ni zaidi ya mchezaji mmoja wa Yanga kwenda Azam na hapa ndio utajua nguvu ya pesa inataka kutumika kuwavuruga Yanga.

Ubora wa Yanga unawatesa sana watu sasa wameamua kutumia haki ya mchezaji kusajiliwa na timu nyingine yoyote kupitia usajili wa dirisha dogo kutaka kuwavuruga Yanga.

Tujiulize, wachezaji wote wa Azam wanalipwa vizuri kama wanavyotaka kumlipa Fei hata kama kila mchezaji analipwa mshahara kulingana na walivyokubaliana?

Akimalizana na Yanga, atahamia Makolo FC amchukue Chama na Mosses msimu ujao unless Makolo wasiwe tishio kwao kama ilivyo Yanga hivi sasa.

Time will tell.
Tulizeni mshono,Feisal ni mali ya Azam.
 
Back
Top Bottom