Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Mnafanya vizuri lakini kuna baadhi ya maeneo mnapwaya sana. Eneo la matangazo ya mpira mnakosa watu wa kamera wenye viwango vya kiushindani ijapo mnasifika kwa kuwa na vyombo/mitambo ya kisasa na studio ya haja kweli kweli
Pamoja na hilo, mnakosa watangazaji wa maana katika michezo mingi, natolea mifano kutoka kwa wale wanaohudumu pale kaitaba U20. Kutangaza mpira kama si fani basi kitakuwa kipaji, tafuteni watu sahihi kwa jambo sahihi. Ikiwezekana nendeni Star TV mkawahamishe watu kule wako wazuri sana katika hii idara ya matangazo, nendeni EFM n.k mkatafute vifaa vya maana vya kuturushia na kutuyangazia mpira, mpira ni radha, mpira ni kipaji.
Pamoja na hilo, mnakosa watangazaji wa maana katika michezo mingi, natolea mifano kutoka kwa wale wanaohudumu pale kaitaba U20. Kutangaza mpira kama si fani basi kitakuwa kipaji, tafuteni watu sahihi kwa jambo sahihi. Ikiwezekana nendeni Star TV mkawahamishe watu kule wako wazuri sana katika hii idara ya matangazo, nendeni EFM n.k mkatafute vifaa vya maana vya kuturushia na kutuyangazia mpira, mpira ni radha, mpira ni kipaji.