nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,355
- 8,149
mtasema sanaMbna mwamuzi wa pembeni anatofautiana na mwamuzi wa kati?
Julio alisema wanaoshinda hawastahili kushindaa ndo maana nje ya nchi hawafanyi vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtasema sanaMbna mwamuzi wa pembeni anatofautiana na mwamuzi wa kati?
Julio alisema wanaoshinda hawastahili kushindaa ndo maana nje ya nchi hawafanyi vizuri
Mpira unachezwa uwanjani nyie mikiaKuna watu wananitusi,ukweli uwazi Yanga ni timu mbovu haistahili.Yanga ndiye mchawi wa soka la bongo.
Hahahah mikia mnachonga mnoHata maamzi ya TFF yataipa yanga ushindi.Nimeona yafuatayo 1.Ngoma kafunga kwa offside
2.Yule babu alipaswa apewe red lakini kapewa yellow.
3.Tambwe kafunga na kiwiko.
Kwa hali hii washabiki wanyamaze tuu watani.
Hivi ile faulo ya makusudi ya mchezaji wa yangaa na hajapewa hata njano anapewa nyekundu mtu mwinginee! Yaani kifupi mwamuziiii wa Leo kachemka game imemshindaaaa mbayaaaa kama kweli hakupokea pesaMashabiki wa mikia wameleta fujo
Ndio ukweliii Leo Mlibebwa sasa mmekutana na watu wasio wavumilivumtasema sana
Kuna maelekezo lazima mtu ashinde.Hata maamzi ya TFF yataipa yanga ushindi.Nimeona yafuatayo 1.Ngoma kafunga kwa offside
2.Yule babu alipaswa apewe red lakini kapewa yellow.
3.Tambwe kafunga na kiwiko.
Kwa hali hii washabiki wanyamaze tuu watani.
Bora hilo Refa leo Ameshikishwa Pesaaa huyoooooOngeeni yote...referee wa leo hakua makini
bila shaka wamatopeni ndo wameleta fujo maana juzi mlipiga mpka hansope sasa mtashndwaje kuwapiga wengineNdio ukweliii Leo Mlibebwa sasa mmekutana na watu wasio wavumilivu
Ile faulo ilikua n straight red card....Hivi ile faulo ya makusudi ya mchezaji wa yangaa na hajapewa hata njano anapewa nyekundu mtu mwinginee! Yaani kifupi mwamuziiii wa Leo kachemka game imemshindaaaa mbayaaaa kama kweli hakupokea pesa
Mbona yanga waliifunga costal goli 8 na walikubali coz mpira ulikuwa Fare kwanini leo
Kifupi MWAMUZI WA LEO KAZINGUA GOLI LA NGOMA ILE NI OFFSIDE YA WAZI KABISAAAAAA
MWAMUZI ALITUMWA HUYU
Kupanda ndege kwenda kutalii na kututia aibu ni ujinga bora wamatopeni!bila shaka wamatopeni ndo wameleta fujo maana juzi mlipiga mpka hansope sasa mtashndwaje kuwapiga wengine
Ndo ukweli mkuu!Nahisi leo ningekuwa uwanjani ningepata kesi ya jinai..!
Dhahiri bin Shahri leo kuna namna imefanyika asee! Yanga wamebebwa sana kupita maelezo dah..!
Kwa hali hii soka letu haliwezi kusonga na kamwe tutaendelea kutolewa kwenye michuano ya Kimataifa
kutalii wapi mtani mbn mna maneno hvyo?Kupanda ndege kwenda kutalii na kututia aibu ni ujinga bora wamatopeni!
Yanga full kubebwa.!Wanatia aibu ndio maana hawawezi kucheza nje ya nchi
Kwa Misri mlienda kufanya nini si kuangalia Mashabiki wa Aly hal Hellua helluakutalii wapi mtani mbn mna maneno hvyo?
Nani anabeba?Yanga full kubebwa.!