Azam energy imepanda bei maradufu! Ni kodi, gharama au kiburi?

Azam energy imepanda bei maradufu! Ni kodi, gharama au kiburi?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Azam energy imepanda bei, kutoka 500/- ikaja 600/- Sasa imepanda bei maradufu mpaka 800/-

Je, ipi sababu ya bei kupanda? Labda kodi imeongezeka, gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa, kiburi na jeuri ya kujiona hana mpinzani au ni Nini? Gharama imeongezeka na kuwa kubwa ghafla sana.

Huko kwenu inauzwaje?
 
Huenda wameanza kuichangia universal health care . Katika kutafuta fedha za bima ya afya kwa wote,
mojawpo ya vyanzo ni kuusanya pesa kutoka katika bidhaa ambazo zinadaiwa kuwa na madhara kiafya, kama sigara,pombe,energy drinks, na nyinginezo, hivyo lazima bei ipande il kuchangia hiyo bima ya wote.
 
Azam energy imepanda bei, kutoka 500/- ikaja 600/- Sasa imepanda bei maradufu mpaka 800/-

Je, ipi sababu ya bei kupanda? Labda kodi imeongezeka, gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa, kiburi na jeuri ya kujiona hana mpinzani au ni Nini? Gharama imeongezeka na kuwa kubwa ghafla sana.

Huko kwenu inauzwaje?
Hebu naomba niunganishe na mawakala waooo basi kama una namba zaooo
 
Back
Top Bottom