Unaconnection na mawakala wao hasa kwa huku mikoaniMimi huku nimuuziwa bei ya jumla leo 18000
So mimi nauza moja 1000. Hataki anywe jambo ya 500/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaconnection na mawakala wao hasa kwa huku mikoaniMimi huku nimuuziwa bei ya jumla leo 18000
So mimi nauza moja 1000. Hataki anywe jambo ya 500/=
Ikiwezekana iuzwe 1500/= tshAzam energy imepanda bei, kutoka 500/- ikaja 600/- Sasa imepanda bei maradufu mpaka 800/-
Je, ipi sababu ya bei kupanda? Labda kodi imeongezeka, gharama za uzalishaji zimekuwa kubwa, kiburi na jeuri ya kujiona hana mpinzani au ni Nini? Gharama imeongezeka na kuwa kubwa ghafla sana.
Huko kwenu inauzwaje?
Jambo bidhaa zao zinakereketa kwenye koo kinomaMimi huku nimuuziwa bei ya jumla leo 18000
So mimi nauza moja 1000. Hataki anywe jambo ya 500/=
Ndio mmoja wa simiyuUnaconnection na mawakala wao hasa kwa huku mikoani
Hebu nipatie contacts zke PmNdio mmoja wa simiyu