Azam FC 1-2 Yanga SC|| Uwanja wa Chamazi|| NBC Premier League

Daash yanga sio wakuwapa guarantee

Hivi leo hawa watu ni wakumlaumu mauya kweli?
 
Katika wachezaji wa Yanga ambao siwapendagi ni Mauya. Mshenzo Sana
 
Atakayefungwa kafungwa ubao utasomeka 2_1 au 1_2 hakuna Cha zaidi
 
Kipa wa azam anaonyesha udhaifu kwa kupoteza muda kwenye mechi rahisi kama hii
 
Azam fc haina tofauti na Mbeya kwanza kuanzia Kocha.

Hivi huyu kocha wa kufundish Azam kweli
 
Mpaka hapo Odds zinaonyesha huu mpira waweza isha kwa draw pia Dish kuyumba team yenye watu wawili tu wenye akili Mzee Manara na Kikwete ikipewa nafasi ya kuibuka mshindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…