Azam FC huu Mpira mlioucheza na Simba SC jana Chamazi mngeucheza katika Mechi zenu zote mmgekuwa "mnademadema' hivyo katika Ligi?

Azam FC huu Mpira mlioucheza na Simba SC jana Chamazi mngeucheza katika Mechi zenu zote mmgekuwa "mnademadema' hivyo katika Ligi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wanafiki wakubwa nyie na natamani mno mmalize mkiwa Nafasi ya Saba au hata ya Kumi Ligi Kuu ya NBC ikimalizika.

Yaami Michezaji yenu akina Morris, Kangwa, Asamoah, Miguna, Mudathiri na Chilunda inacheza kwa Nguvu na Kukamia pale tu wakicheza na Simba SC ila wakicheza na Yanga SC wanakuwa Laini Laini tu kama Watoto wa Kike?

Na Laana yangu lazima tu itawapata!!!
 
Wanafiki wakubwa nyie na natamani mno mmalize mkiwa Nafasi ya Saba au hata ya Kumi Ligi Kuu ya NBC ikimalizika.

Yaami Michezaji yenu akina Morris, Kangwa, Asamoah, Miguna, Mudathiri na Chilunda inacheza kwa Nguvu na Kukamia pale tu wakicheza na Simba SC ila wakicheza na Yanga SC wanakuwa Laini Laini tu kama Watoto wa Kike?

Na Laana yangu lazima itawapata.
We tulia dawa ikuingie we "mamioto fc" mbona husemi Ruvu Shooting na prison wanavyokamia wakicheza na Yangu, ila wakicheza na simba wanakuwa mdebwedo!!
 
Ulitaka wasikaze?
sospeter_bajana04~p~CVpOky0LQ53~1.jpg
 
Siku hizi hata ukipost hamna anayechangia maana umekuwa kama debe tupu.
Huo muda unaotumia Kunifuatilia 24/7 hapa ungeutumia Kuimarisha Uhusiano wako na Basha wako leo hii ungekuwa Unataabika ma Kushinda Vilinge vya Mashoga na Mafuta yako ya Mgando?

Cc: changaule, adriz
 
Nakujibu brother. Mimi sio Simba ila mechi ya jana mlimuhitaji sana mzee wa bisibisi aka morison na mkude.
Yule rasta wenu mechi kubwa huwa hamna kitu. Nisamehee bure. Na kocha wenu hajui mechi gani achezeshe kina nani
 
Nakujibu brother. Mimi sio Simba ila mechi ya jana mlimuhitaji sana mzee wa bisibisi aka morison na mkude.
Yule rasta wenu mechi kubwa huwa hamna kitu. Nisamehee bure. Na kocha wenu hajui mechi gani achezeshe kina nani
Kwahiyo Wewe ukija kuwa Kocha ukiwa na Mchezaji asiye na Nidhamu kama Bernard Morrison na Mgonjwa bado kama Jonas Mkude utawapanga katika Mechi?

Usitake kunilazimisha nianze Kukudharau.
 
Huo muda unaotumia Kunifuatilia 24/7 hapa ungeutumia Kuimarisha Uhusiano wako na Basha wako leo hii ungekuwa Unataabika ma Kushinda Vilinge vya Mashoga na Mafuta yako ya Mgando?

Cc: changaule, adriz
shoga ni wewe wa kuimba taarabu humu na kukatika mauno
 
Back
Top Bottom