Azam FC imewatimua makocha wake wote raia wa Hispania

Hii timu sijui inamkosi gani..!? uwekezaji wote lakini matokeo ni butu
 
Tulishaliona tangu mwanzo hawa Waispania watachemsha tu hapa
 
Good comment big up mkuu
 
Hii ni habari nzuri sana kwa mustakbali wa azam FC.Haiwezekani ufundishe kwa kupitia mtafsiri na mafunzo yako yapokewe kama unavyokusudia.

Ila ubaya ni timing ya kuwapiga stop.Kwanini wameachwa baada ya kufanya usajili wa dirisha dogo?Wangeachana na hao makocha mara tu baada ya mzunguko wa kwanza tayari walishaonekana hawana jipya.Usajili wa durisha dogo ungefanywa na kocha mpya
 
Nafikiri Azam FC leadership hawajajua wanachokitaka, in my view ni kama they are not focused. Nilitegemea Azam FC ingekuwa timu kubwa hapa nchini kuliko hata Yanga na Simba kutokana na uwekezaji wake. Looking at players wanaowasajiri, hawaendani na jina na investment kubwa waliyofanya mpaka sasa. Binafsi simuamini CEO wao I don't know Sad, he is not fit for the job.
 
nimeshangaa kwanini wamewachelewesha kwani nahisi lingehitajika hili kufanyika mapema kulingana na hali yao yakiushindani
 
M nafikiri mkulu wa azam atimue wale Jamaa wanaojiita viongozi wa timu hawa wanafocus kupiga hela tu.
 
Kwa mawazo yangu naona azam haitokuja pata kocha kama stewart hall jamaa ni bonge la kocha yule.
 
Kesho Azam Fc wana Press saa 5.
 
Wamechelewa sana kuchukua uamuzi huo. Wale hawakuwa makocha bali waganga njaa tu.

Azam FC wamchukue Pluijim au Micho wa The Craines
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…