Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,363
Kwangu Mimi Kocha mzoefu ambae anafaa azam na miundo mbinu yao ni...Micho ( Kocha mkuu wa Uganda)Hakuna Kocha aliyepewa muda na Azam kama Stewart Hall.
Kwanza aliikimbia ligi ya Bongo. Kaona aende Kenya ambapo hakuna Yanga na Simba.
Hawezi kurudishwa.. Naona kocha mwenye uzoefu na soka la Kiafrika akiingia pale.
Kuna Makocha 13 ktk list ya Azam na Katika wanaotajwa ni kocha wa zamani wa TP Mazembe, Lamine N'Diaye na PLUIJM, Kigezo kikubwa kinachoangaliwa kwa Mujibu wa CEO wao ni Uzoefu na Mafanikio katika Mashindano ya CAF. Azam wameona kuna Umuhimu wa Kutafuta Kocha Msaidizi Mzawa anayeijua Ligi Kuu, Hapa anatajwa KALI ONGALA.... TusubiriKwangu Mimi Kocha mzoefu ambae anafaa azam na miundo mbinu yao ni...Micho ( Kocha mkuu wa Uganda)
Swadakta mkuu. Tatizo wamembana hata hawezi kumuamini mtu mbadala.Viongozi azam ndii tatizo,si wa kweli wanamdanganya mmliki ,asiposhtuka Azam itakua timu ya kawaida tu
OK kwa hao sawa je babu ataondoka yanga?..N'Diaye km Omog watashindwana tu,ttz azam uongozi unajua sana na upambe mwingiKuna Makocha 13 ktk list ya Azam na Katika wanaotajwa ni kocha wa zamani wa TP Mazembe, Lamine N'Diaye na PLUIJM, Kigezo kikubwa kinachoangaliwa kwa Mujibu wa CEO wao ni Uzoefu na Mafanikio katika Mashindano ya CAF. Azam wameona kuna Umuhimu wa Kutafuta Kocha Msaidizi Mzawa anayeijua Ligi Kuu, Hapa anatajwa KALI ONGALA.... Tusubiri
Hapo sawa! Ila duh kumuondoa pale FUFA.....Kwangu Mimi Kocha mzoefu ambae anafaa azam na miundo mbinu yao ni...Micho ( Kocha mkuu wa Uganda)
Sie hatuwezekaniki hata aje Mourinho hapa, atakwama tu. Tunataka sifa kubwa bila kuihangaikia.Kwangu Mimi Kocha mzoefu ambae anafaa azam na miundo mbinu yao ni...Micho ( Kocha mkuu wa Uganda)
Sasa ameajiriwa kufanya nini ?Unanipa shaka kidogo! Yaani Saad Kawemba ni chanzo cha Azam FC kutofanya vizuri?
Unamaanisha hata akija Kocha yeyote pale Azama, haitofanya vyema mpaka saad kawemba aondolewe?
Acha utani mkuu! Kama unabifu naye binafsi naona ni wakati muafaka ukamfuata na mkayamaliza.
Saad hasajili wachezaji
Saad hasajili makocha
Saad hausiki na Ufundi
Saad hausiki directly na utendaji & performance ya Klabu.
Kama una uhakika kuwa yeye huwa anahusika mpja kwa moja kuscout wachezaji, kuajili Makocha, tupe ushahidi hapa ili tuamini ukisemacho. Vinginevyo si kweli ulisemalo
Kuna Umuhimu wa Azam Kuwa na KURUGENZI YA UFUNDIAzam bado inaendeshwa kiswahili tulishasema hakuna walichofanya cha maana zaidi ya kujenga uwanja wa Chamazi bado wanaendesha timu kama Toto African au Majimaji
Kwanini hukusema kama Yanga na Simba? Maana timu hizi ndizo chanzo cha kutokukua au kufanya vizuri kwa soka letu hapa nchini Tanzania.Azam bado inaendeshwa kiswahili tulishasema hakuna walichofanya cha maana zaidi ya kujenga uwanja wa Chamazi bado wanaendesha timu kama Toto African au Majimaji
Unafikiri ni yapi Majukumu ya Saad Kawemba pale?Sasa ameajiriwa kufanya nini ?
Kwa mtazamo wangu viongozi wa Simba/Yanga wanapata upinzani mkubwa kuliko wanaopata Azam.Azam hakuna uchaguzi wa kuchagua viongozi,Azam fedha ipo tayari tofauti na Simba/YangaKwanini hukusema kama Yanga na Simba? Maana timu hizi ndizo chanzo cha kutokukua au kufanya vizuri kwa soka letu hapa nchini Tanzania.
Saad Kawemba ni CEO wa Azam FC kazi yake ni kuhakikisha Azam FC inapata mafanikio ndani na nje ya uwanja. Kama CEO wa kampuni na kampuni haifanyi vizuri wa-kulaumiwa ni wewe watendaji wote wa kampuni wako chini yako.Unafikiri ni yapi Majukumu ya Saad Kawemba pale?
Sie hatuwezekaniki hata aje Mourinho hapa, atakwama tu. Tunataka sifa kubwa bila kuihangaikia.Kwangu Mimi Kocha mzoefu ambae anafaa azam na miundo mbinu yao ni...Micho ( Kocha mkuu wa Uganda)
Dah! Inasikitisha mno. Wengi tulitegemea kufarijika kisoka kwa kuanzishwa timu hii lakini walewale waliovurunda Simba, Yanga na TFF ndo wamechukuliwa kuiongoza ndo maana wanaona ili kuendelea kumpiga mpunga mzee Bakhresa ni kufukuza makocha tu. Pep Gadiola kaingoza Barcelona kwa mafanikio makubwa mno, akaenda Bayen Munich nako akapata mafanikio vilevile ndipo matajiri wa Man City wakamchukua. Tazama Pep kaingia Man6 kabla ya benchi jipya la Azam lakini mpaka sasa yupo na timu haina tegemeo la ubingwa labda msimu ujao. Wenye akili nyingi sana pale Azam wametimua benchi tayari basi wao wageuke makocha!!!!!!Azam bado inaendeshwa kiswahili tulishasema hakuna walichofanya cha maana zaidi ya kujenga uwanja wa Chamazi bado wanaendesha timu kama Toto African au Majimaji
CEO na kurugenzi nzima ya timu wanapashwa kufukuzwa kwani wameona njia ya kula pesa ya mzee ni kufukuza benchi la ufundi tu. Omog alianza kutupa matumaini ya timu kufanya vizuri na angeachwa asajiri wachezaji wake sasa hivi timu ingekuwa pazuri, lakini kwa kuwa wanataka Yanga na Simba tu ndo wabadilishane ubingwa kila msimu wao wananufaika.Saad Kawemba ni CEO wa Azam FC kazi yake ni kuhakikisha Azam FC inapata mafanikio ndani na nje ya uwanja. Kama CEO wa kampuni na kampuni haifanyi vizuri wa-kulaumiwa ni wewe watendaji wote wa kampuni wako chini yako.
1.Unafikiri hao makocha wa Spain waliajiriwa bila approval ya CEO?
2.Mlitegemea makocha wa Spain wanakuja kufundisha wachezaji wazee kina Bocco,Nyoni,Morris watapata mafanikio?
3.Azam iliwaacha Kipre Cheche,Kavumbangu,Amme Ally hawakusajili replacement wanamtegemea Bocco
4.Kwa nini Azam walimfukuza Joseph Omog kocha aliyewapa ubingwa kwa mara ya kwanza ?