Saad Kawemba ni CEO wa Azam FC kazi yake ni kuhakikisha Azam FC inapata mafanikio ndani na nje ya uwanja. Kama CEO wa kampuni na kampuni haifanyi vizuri wa-kulaumiwa ni wewe watendaji wote wa kampuni wako chini yako.
1.Unafikiri hao makocha wa Spain waliajiriwa bila approval ya CEO?
2.Mlitegemea makocha wa Spain wanakuja kufundisha wachezaji wazee kina Bocco,Nyoni,Morris watapata mafanikio?
3.Azam iliwaacha Kipre Cheche,Kavumbangu,Amme Ally hawakusajili replacement wanamtegemea Bocco
4.Kwa nini Azam walimfukuza Joseph Omog kocha aliyewapa ubingwa kwa mara ya kwanza ?