Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msimbazi sawa ila uku kwingine unaeza jikuta gharama inakuwa kubwa tena maana kuna hela ya vikokotoo wkt makundi yaisha kuchezwaNingekua bakresa hela ningeweka jangwani au msimbazi 5yrs ningeingiza mpunga wa maana.
Azam alikuwa afe goli mbili au tatuNami nimeshangaa kabisa, yaani mchambuzi anaulizwa lile ni goli sio goli, anaanza sababu kibao wakati Pamba kanyimwa goli halali. Na wanajifanya kutumia vi maneno vya kizungu kujificha humo. Ila Mungu sio Athumani Pamba kashinda licha ya kanyimwa penati na goli.
Kwakweli ameharibu,ile siyo penati maana aliyeshika alikuwa mchezaji wa namungo ikatafsiriwa ni wa Dodoma jiji.Kuna maajabu hapa ruangwa refa kaboronga kweli kweli
Kabisa,ila ndo hivo mpaka marefa wawe fair,au VAR zifungwe vinginevyo mpira huu wa Tanzania kamwe hautakuwa fair, niko hapa nimekaa.Azam alikuwa afe goli mbili au tatu
Haswa dalili naziona namimi.Siku katelefoni akistaafu siasa na timu inashuka
Ligi yetu kivyetu vyetu kwa kweli.Kwakweli ameharibu,ile siyo penati maana aliyeshika alikuwa mchezaji wa namungo ikatafsiriwa ni wa Dodoma jiji.
2-2 dodoma wamechinjwa kinyama aiseee.Ngapi ngapi huko,timu ya PM inafungwaje??
Kila kitu its not about money,sometimes ali invest kwenye timu yake sio ili apate faida ila ili awe na power kwenye media zake pia.Ningekua bakresa hela ningeweka jangwani au msimbazi 5yrs ningeingiza mpunga wa maana
Kabisa mkuuAzam alikuwa afe goli mbili au tatu