Azam FC Kuanzia round ya kwanza CAF ni ipi sababu?

Azam FC Kuanzia round ya kwanza CAF ni ipi sababu?

kaka-blaza

Member
Joined
Nov 7, 2019
Posts
96
Reaction score
141
Wakuu kwa yeyote mwenye kufahamu sababu iliyofanya Azam Fc kuwa timu pekee kutoka ukanda huu wa Afrika mashariki kuanzia round ya kwanza kombe la shirikisho, ilhali hata Simba ambaye wachambuzi wengi walikuwa wameshatuaminisha kuwa ataanzia hatua ya kwanza nae ameanzia hatua ya awali kombe la klabu bingwa.

Naomba majibu yenye ufafanuzi yakinifu

IMG-20220719-WA0032.jpg
 
Sababu ni simba kufika robo fainali shirikisho. Means that ingekuwa alifika club bingwa robo fainali isingekuwa hivyo.
 
Kwanini isingekuwa Geita Gold?

Azam anahesabiwa kama mshindi wa 3 kwenye ligi na si mshindi wa 4 kama Geita. So ushiriki utaanza 3 itafata 4. Vyovyote hiyo nafasi moja kwa timu yetu kutoanzia hatua za awali itamfaa azam
 
Back
Top Bottom