Azam FC kushirikiana na Fauntain Gate Prinsess

Azam FC kushirikiana na Fauntain Gate Prinsess

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Azam FC tunayo furaha kuutangazia umma kuwa tumeingia makubaliano ya mwaka mmoja ya ushirikiano na klabu ya soka la wanawake ya Fountain Gate Princess.

Makubaliano hayo ni katika kukidhi kanuni ya CAF, iliyoanza kutumika msimu uliopita inayozitaka klabu zinazoshiriki michuano ya Afrika, kuwa na timu za wanawake au kushirikiana katika uendeshaji na taasisi nyingine yenye timu ya wanawake.

Msimu uliopita, tuliingia mkataba wa ushirikiano kama huu na klabu ya soka ya wanawake ya Baobab, ambao tayari umefikia ukomo.

Kwa makubaliano hayo ni rasmi sasa kwamba, Fountain Gate Princess ambayo maskani yake yapo jijini Dodoma


1718483371376.png
 
Uhuni kivipi wakati jambo lipo kisheria
Kuna mambo mengine ukileta usimba na yanga
Utatokwa na ufahamu wako
Hilo jambo lipo kisheria na uwazi huo uhuni upo wapi hapo
Kwahy mwakan pia achague timu nyngn au siyo?
Halafu wakitolewa huko kimataifa na hao wanawake wanamwagwa au siyo?
 
Kwahy mwakan pia achague timu nyngn au siyo?
Halafu wakitolewa huko kimataifa na hao wanawake wanamwagwa au siyo?
SI Umeona wameandika wameingia nao mkataba wa mwaka Moja na hawajasema wameinunua
Term and conditions hatuzijui
Ni fountain gate sasa walivyoingia huo mkataba wameona wenyewe watanufaika vipi hata kam AZAM ikitolewa hatua ya awali
Kikubwa jambo lipo kisheria za FIFA CAF TFF na za NCHI
 
Azam FC tunayo furaha kuutangazia umma kuwa tumeingia makubaliano ya mwaka mmoja ya ushirikiano na klabu ya soka la wanawake ya Fountain Gate Princess.

Makubaliano hayo ni katika kukidhi kanuni ya CAF, iliyoanza kutumika msimu uliopita inayozitaka klabu zinazoshiriki michuano ya Afrika, kuwa na timu za wanawake au kushirikiana katika uendeshaji na taasisi nyingine yenye timu ya wanawake.

Msimu uliopita, tuliingia mkataba wa ushirikiano kama huu na klabu ya soka ya wanawake ya Baobab, ambao tayari umefikia ukomo.

Kwa makubaliano hayo ni rasmi sasa kwamba, Fountain Gate Princess ambayo maskani yake yapo jijini Dodoma


View attachment 3018324
Hivi ni kwa nini zisiwekwe kanuni kwa vilabu vyote vya mpira wa miguu kuwa na timu za vijana na wanawake!!
 
Azam FC tunayo furaha kuutangazia umma kuwa tumeingia makubaliano ya mwaka mmoja ya ushirikiano na klabu ya soka la wanawake ya Fountain Gate Princess.

Makubaliano hayo ni katika kukidhi kanuni ya CAF, iliyoanza kutumika msimu uliopita inayozitaka klabu zinazoshiriki michuano ya Afrika, kuwa na timu za wanawake au kushirikiana katika uendeshaji na taasisi nyingine yenye timu ya wanawake.

Msimu uliopita, tuliingia mkataba wa ushirikiano kama huu na klabu ya soka ya wanawake ya Baobab, ambao tayari umefikia ukomo.

Kwa makubaliano hayo ni rasmi sasa kwamba, Fountain Gate Princess ambayo maskani yake yapo jijini Dodoma


View attachment 3018324
Kwa nini tajiri Bakhresa asianzishe yake.
 
Huu ni uhuni na tff inaulea mwaka Jana unaweza kusema ilikuwa ghafla Ila TFF ilitakiwa. Itunge kanuni
 
Back
Top Bottom