Azam FC mpeni timu huyu mzawa

Azam FC mpeni timu huyu mzawa

Mtu hajafikisha hata mechi 10 hapo kagera mshaanza kusema sana. Tulia amalize msimu.
Pia rekodi zake za nyuma hazisadifu unachosema.
Aendelee kujifunza zaidi na ikiqezekana aongeze elimu kwa kuwa na CLASS A ya CAF.
Uwezo wake haujaanza kuonekana leo zingatia pia ubora wa wachezaji alionao Kagera sugar.
 
Kwani aliyeifikisha Simba Round makundi ya michuano ya mabingwa CAF ni nani?
Mgunda amewahi kumaliza ligi wa 4?
Simba ina wachezaji wengi proffesional na viwango vyao vipo juu hivyo inasaidia kushika mbinu kwa haraka.
 
Mgunda amewahi kumaliza ligi wa 4?
Simba ina wachezaji wengi proffesional na viwango vyao vipo juu hivyo inasaidia kushika mbinu kwa haraka.
Ndicho nilicho maanisha mimi,sababu type za wachezaji walioko Simba,Azam wapo na ndio maana naamini Mgunda anawafaa Azam.
 
Hilo mbona linajulikana na limelalamikiwa sana. Naamini ukitafuta inawezekana zipo nyuzi zinaongelea hayo.
kama iyo ndo sababu yako vipi kwa timu zilizoshuka daraja kama Gwambina,Mbao,Toto,Aliance nao walikua wabaguzi?.

alafu unajua kama Azam walishawai kubeba ubingwa inamaana Yesu alisahau kuwabania wasibebe ubingwa?
 
kama iyo ndo sababu yako vipi kwa timu zilizoshuka daraja kama Gwambina,Mbao,Toto,Aliance nao walikua wabaguzi?.

alafu unajua kama Azam walishawai kubeba ubingwa inamaana Yesu alisahau kuwabania wasibebe ubingwa?
Wapi nimesema Yesu amewabania? Mimi kiroho safi nimetoa ushauri njia inayoweza kuwaletea baraka, ni uamuzi wao nini wataamua kufanya.

Sipo hapa kubishana ila nimekwambia hizi tuhuma zimekuwepo kwa muda mrefu.
 
Wapi nimesema Yesu amewabania? Mimi kiroho safi nimetoa ushauri njia inayoweza kuwaletea baraka, ni uamuzi wao nini wataamua kufanya.

Sipo hapa kubishana ila nimekwambia hizi tuhuma zimekuwepo kwa muda mrefu.
kama unapenda mpira penda mpira mambo ya misimamo yako ya dini kwenye mpira utajichanganya tu wewe mwenyewe.

kwasababu hela ya Azam ndo inamlipa mshindi wa kwanza mpaka wa mwisho kwenye ligi.bado tena anadhamini michuano ya Azam shirikisho uko kote ni hela anatoa.

sasa Azam anaetoa bilions of money kwenye kusuport mpira na wewe ambae hata hela ya kula huna nani mwenye laana?
 
Back
Top Bottom