Azam FC msipotufunga Simba SC Keshokutwa ( Jumanne ) nitawalaumu na nitawadharau sana

Azam FC msipotufunga Simba SC Keshokutwa ( Jumanne ) nitawalaumu na nitawadharau sana

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Nataka mtufunge ili tukichanganya na zile Hasira za Kufungwa Thalatha za Mwarabu jana tupate sababu ya Kuvurugana zaidi na Mgogoro uwe mkubwa Klabuni ili Mo Dewji ( Mwekezaji ), Salim Abdallah Mhene 'Try Again' ( Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ) na mwana Yanga SC lia lia Murtaza Mangungu ( Mwenyekiti wa Wanachama ) kwa pamoja Watuachie Timu yetu ya Simba SC kwani hawa ndiyo Wanachangia Kutuumiza mno Simba SC kwa kujifanya Wanatupenda, Wanatujali na Wanatusaidia.

Simba SC ya sasa inahitaji Vurugu, Mizozo na Fujo ili Wanafiki wote waondoke na wenye Uchungu wa kweli wa Simba SC yetu turejee rasmi Kuipambania Simba SC yetu Kimkakati na Kisayansi na kamwe si kwa Dereva wa Basi Kulazimishwa kuendesha Gari ( Basi la Timu ) Kinyumenyume kutoka Bagamoyo kwa Mganga wa Kienyeji hadi Temeke Uwanja wa Mkapa.
 
Nataka mtufunge ili tukichanganya na zile Hasira za Kufungwa Thalatha za Mwarabu jana tupate sababu ya Kuvurugana zaidi na Mgogoro uwe mkubwa Klabuni ili Mo Dewji ( Mwekezaji ), Salim Abdallah Mhene 'Try Again' ( Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ) na mwana Yanga SC lia lia Murtaza Mangungu ( Mwenyekiti wa Wanachama ) kwa pamoja Watuachie Timu yetu ya Simba SC kwani hawa ndiyo Wanachangia Kutuumiza mno Simba SC kwa kujifanya Wanatupenda, Wanatujali na Wanatusaidia.

Simba SC ya sasa inahitaji Vurugu, Mizozo na Fujo ili Wanafiki wote waondoke na wenye Uchungu wa kweli wa Simba SC yetu turejee rasmi Kuipambania Simba SC yetu Kimkakati na Kisayansi na kamwe si kwa Dereva wa Basi Kulazimishwa kuendesha Gari ( Basi la Timu ) Kinyumenyume kutoka Bagamoyo kwa Mganga wa Kienyeji hadi Temeke Uwanja wa Mkapa.

Upo Km zuzu
 
Upo Km zuzu
Naona Simba walimnyima kazi ya KUWAROGEA, pamoja na kujinasibu hapa kuwa anajua kuroga, ndiyo maana ndani ya muda mfupi kawafungulia nyuzi kibao! Yeye na MANARA hawana tofauti!
 
Back
Top Bottom