Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
Huyu beki wa Mashujaa ni balaa - hamutajutia kumsajili katika vilabu vyenu.
Ni ushauri tu
Ni ushauri tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe kwakumpenda rafiki yako! sijui anakupa mautamu gani Maskini!Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.
Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.
1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.
2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).
NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.
TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
Beki makini beki mwanaume kazi sii mchezo....ananikumbusha shadrack nsajigwa 'fuso'Huyu beki wa Mashujaa ni balaa - hamutajutia kumsajili ktk vilabu vyenu.
Ni ushauri tu
Nyie mpaka mchezaji awafunge ndio mumsajiri 🤣🤣🤣🤣Hapana atuwezi kumsajiri mchezaji kwa mechi mbili tu acheze kwanza walau msimu Mmoja tumuone kwanza
Hapana mbona kazi,Abdulla,mwamnyeto,kibwana,Kennedy,kapombe,manura,ally salimu,mshery,metacha na wengine kibao tumewasajiri na awajawai kutufungaNyie mpaka mchezaji awafunge ndio mumsajiri 🤣🤣🤣🤣
WamewalogaHapana mbona kazi,Abdulla,mwamnyeto,kibwana,Kennedy,kapombe,manura,ally salimu,mshery,metacha na wengine kibao tumewasajiri na awajawai kutufunga
Basi nae mshauri atuloge tumsajiriWamewaloga
Ondoa shaka tutamshauri afanye hivyoBasi nae mshauri atuloge tumsajiri
Urafiki wa kweli huu , mtu kala ban lakini daily kaka hauishi kumtaja bwana Mwalimu hapa jamviniNimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.
Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.
1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.
2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).
NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.
TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
Mkuu uandishi ni kipaji msamehe tuMtu MWENYE AKILI sawa swa angeweza kusema.
1. Beki wa kati anaitwa shadrack.......
2. Ni mchezaji wa Mashujaa ya kigoma......
3. Historia Fupi ya mchezaji.
4. Urefu wake ni Futi..........
5. Uimara wake upo......
,,,,,,,,,Tacling,
,,,,,,,,,,header,
,,,,,,,,,,speed,
,,,,,,,,,,,kusoma mchezo,
,,,,,,,,,,,,passing,
,,,,,,,,,,,,,kiongozi nk.
,,,,,,,,,,,, Kukaba nk.
ANDIKA KAMA MSOMI.
HOME OF GREAT THINKES
JF siku hizi ina mananga wengi. Mtu unaanzisha uzi eti beki wa mashujaa ni balaa bila kumchambua ubora wake🤔Huyu beki wa Mashujaa ni balaa - hamutajutia kumsajili katika vilabu vyenu.
Ni ushauri tu
Spoon feeding kwa level yako haikufai - profile ya mhusika itafute - how great are you!!!Mtu MWENYE AKILI sawa swa angeweza kusema.
1. Beki wa kati anaitwa shadrack.......
2. Ni mchezaji wa Mashujaa ya kigoma......
3. Historia Fupi ya mchezaji.
4. Urefu wake ni Futi..........
5. Uimara wake upo......
,,,,,,,,,Tacling,
,,,,,,,,,,header,
,,,,,,,,,,speed,
,,,,,,,,,,,kusoma mchezo,
,,,,,,,,,,,passing,
,,,,,,,,,,,,kiongozi nk.
,,,,,,,,,, Kukaba nk.
ANDIKA KAMA MSOMI.
HOME OF GREAT THINKES
Yunge Mkubwa anaendeleaje?Wewe nawe kwakumpenda rafiki yako! sijui anakupa mautamu gani Maskini!
Siku hizi hulimi Parachichi kule Kakonko Mugabo!!!!Spoon feeding kwa level yako haikufai - profile ya mhusika itafute - how great are you!!!
Wewe hujasahau tu?Yunge Mkubwa anaendeleaje?
Tunasubiri muendelezoWewe hujasahau tu?
Tunasubiri muendelezoWewe hujasahau tu?