Azam FC tunalipa kisasi leo kwa Singida tuombeane tu

Hii timu nayo inasajili wachezaji wa kila aina! Wakianza tu kuwalambisha ma ice cream yao, wanaanza kuota vitambi!

Anyway, Singida Big Stars ana nafasi kubwa ya kushika nafasi ya 3 au 4, na hivyo kuiwakilisha nchi kombe la Shirikisho.
Ndiyo masna Ally Kamwe akiita timu ndogo Zaka
 
Habari za mda huu wana michezo

Leo kutakuwa na mechi ya kukata na shoka apo LITI kati ya Azam fc itayochuana na SBS

KISASI CHA MAPINDUZI CUP LEO KINALIPWA

Vijana wapo tayari wamejiandaa kupambama

AZAM FC TEAM BORA BIDHAA BORA
Ona sasa mpaka tumefungwa...
 
Habari za mda huu wana michezo

Leo kutakuwa na mechi ya kukata na shoka apo LITI kati ya Azam fc itayochuana na SBS

KISASI CHA MAPINDUZI CUP LEO KINALIPWA

Vijana wapo tayari wamejiandaa kupambama

AZAM FC TEAM BORA BIDHAA BORA
Pole sana kwa kichapo
 
Vipi kisasi chenu na Singida kilikuwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…