Jitu Refu
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 823
- 811
Azam fc ilipoanzishwa nilijua itakuja kuwa kilabu bora sana afrika kama TP MAZEMBE na nyinginezo zilizofanikiwa,kwa kuwa azam fc wana boss(bakhresa) mpenda mpira na anapesa ya kutosha,nini kimewafanya wawe na uwezo kama wa simba na yanga(timu zinazoongozwa na wanachama) tu tena muda mwingine hizi timu zinaizidi azam fc(kiuwezo uwanjani).Au walichokosea ni kuingiza uyanga baada ya kumnunua mshabiki kutoka yanga(hapa natania),wamekosea wapi hawa?
Je?,unazani SIMBA na YANGA wataweza kufanikiwa zaidi ya hapo walipo wakiingia kwenye mfumo wa timu kumilikiwa na mtu mmoja au kampuni.
Je?,unazani SIMBA na YANGA wataweza kufanikiwa zaidi ya hapo walipo wakiingia kwenye mfumo wa timu kumilikiwa na mtu mmoja au kampuni.