Azam FC wanabebwa Dhahiri, Pamba jiji wameonewa goli Lao halali kabisa

Azam FC wanabebwa Dhahiri, Pamba jiji wameonewa goli Lao halali kabisa

Mpaka aibu yaani refa hajui hata advantage, mchezaji wa Pamba kachezewa rafu, ila still bado mpira wapo nao wao,pamba wanatupia goli. Mshika kibendera anarudi kati refa anasema faulo,yaani aibu.
Mwamuzi Tatu Malogo alikuwa sahihi kufuta goli. Mchezaji wa Pamba amechezewa rafu, akaanguka na kuuzuia mpira kwa mkono ili kumlazimisha mwamuzi atoe faulo. Mpira ukaendelea kuzagaa pale pale maana ulizuiwa kwa mkono. Akatokea mchezaji mwingine wa Pamba akaupiga ukaingia wavuni. Hilo sio goli maana mpira usingezuiwa kwa mkono usingebaki pale pale. Utadaije advantage wakati umedai faulo kwa kuukamata mpira? Bora upewe faulo uliyoilazimisha. Safi sana mwamuzi
 
Mwingine anasema goli mwingine sio goli yaani hadi aibu,,, af azam media si walisema wameleta VAR au ndo ilikuwa janja janja ya kupandishia bando zao?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Aliyesema au kushauri kuwa sio goli alikuwa sahihi kabisa. Advantage huwa pia inakufa
 
Mwamuzi Tatu Malogo alikuwa sahihi kufuta goli. Mchezaji wa Pamba amechezewa rafu, akaanguka na kuuzuia mpira kwa mkono ili kumlazimisha mwamuzi atoe faulo. Mpira ukaendelea kuzagaa pale pale maana ulizuiwa kwa mkono. Akatokea mchezaji mwingine wa Pamba akaupiga ukaingia wavuni. Hilo sio goli maana mpira usingezuiwa kwa mkono usingebaki pale pale. Utadaije advantage wakati umedai faulo kwa kuukamata mpira? Bora upewe faulo uliyoilazimisha. Safi sana mwamuzi
Unajua maana ya advantage? Mpira umeanza kutizama lini? Halafu yule mchezaji wa Pamba hakushika mpira kwa kukusudia,bali baada ya rafu akaanguka vibaya,ila still mpira ukawa bado upo kwenye himaya ya Pamba.So still advantage ilikuwa ipo kwa Pamba,lile goli ni halali bila shaka.

Refa wako mwenyewe hajihelewi,mara ya kwanza kabisa aliamua ni Offside huku mshika kibendera akirudi kati,mara baada ya kuzongwa akaamua ni faulo kwa kifupi alikuwa anabahatisha.
 
Unajua maana ya advantage? Mpira umeanza kutizama lini? Halafu yule mchezaji wa Pamba hakushika mpira kwa kukusudia,bali baada ya rafu akaanguka vibaya,ila still mpira ukawa bado upo kwenye himaya ya Pamba.So still advantage ilikuwa ipo kwa Pamba,lile goli ni halali bila shaka.
Kuattack mtoa hoja badala ya hoja huwa ni dalili za kuishiwa madini.

Logic ya maamuzi ya advantage huzingatia what if. Huwezi ukaucontrol mpira kwa mkono halafu refa akaacha kuzingatia. Huo mpira haujagongwa katika natural position ya mkono wa mchezaji, ila kwa sababu alifanyiwa faulo. Basi uamuzi ni kuwapa faulo yao. Rudia 'kutizama' kama ambavyo umekuwa :ukitizama tangu kale', utaona kwamba mchezaji alipoangushwa akauzuia kwa makusudi mpira kwa kutumia mikono ili kumshawishi refa apulize filimbi wapewe faulo.

What if angeuacha utembee? Jibu ni kwamba usingebakia pale alipofungia mwenzake, possibility kubwa ungechukuliwa na golikipa, and that's no longer the advantage.
 
Kuattack mtoa hoja badala ya hoja huwa ni dalili za kuishiwa madini.

Logic ya maamuzi ya advantage huzingatia what if. Huwezi ukaucontrol moira kwa mkono halafu refa akaacha kuzingatia. Huo mpira haujagongwa katika natural position ya mchezaji, ila kwa sababu alifanyiwa faulo. Basi uamuzi ni kuwapa faulo yao. Rudia 'kutizama' kama ambavyo umekuwa :ukitizama tangu kale', utaona kwamba mchezaji alipoangushwa akauzuia kwa makusudi mpira kwa kutumia mikono ili kumshawishi refa apulize filimbi wapewe faulo.

What if angeuacha utembee? Jibu ni kwamba usingebakia pale alipofungia mwenzake, possibility kubwa ungechukuliwa na golikipa, and that's no longer the advantage.
Ule mpira yule mchezaji haku uzuia kwa makusudi bali alianguka vibaya, si kila ukishikwa basi inatakiwa iwe faulo mpira haupo hivyo.

Refa wako mwenyewe hajihelewi,mara ya kwanza kabisa aliamua ni Offside huku mshika kibendera akirudi kati,mara baada ya kuzongwa akaamua ni faulo kwa kifupi alikuwa anabahatisha.

Kwa kifupi hata yy mwenyewe alikuwa hajui anaamua nini, ila angemsikiliza mshika kibendera sababu yy alikuwa sambamba na ile move na aliiona vizuri.
 
Hivi ikatokea mpira wa juu, mshambuliaji akasukumwa na beki akajikuta ule mpira umemgusa mkononi kisha ukaingia golini, unafikiri refa anaweza kutoa advantage liwe goli?
 
Kuattack mtoa hoja badala ya hoja huwa ni dalili za kuishiwa madini.

Logic ya maamuzi ya advantage huzingatia what if. Huwezi ukaucontrol mpira kwa mkono halafu refa akaacha kuzingatia. Huo mpira haujagongwa katika natural position ya mkono wa mchezaji, ila kwa sababu alifanyiwa faulo. Basi uamuzi ni kuwapa faulo yao. Rudia 'kutizama' kama ambavyo umekuwa :ukitizama tangu kale', utaona kwamba mchezaji alipoangushwa akauzuia kwa makusudi mpira kwa kutumia mikono ili kumshawishi refa apulize filimbi wapewe faulo.

What if angeuacha utembee? Jibu ni kwamba usingebakia pale alipofungia mwenzake, possibility kubwa ungechukuliwa na golikipa, and that's no longer the advantage.
Haya tizama maamuzi ya kwanza kabisa ya refa wako unaye mtetea.

View: https://www.instagram.com/reel/C_6HwtdK4ze/?igsh=MTdmeHg2OTk1MW53bw==
 
Ule mpira yule mchezaji haku uzuia kwa makusudi bali alianguka vibaya, si kila ukishikwa basi inatakiwa iwe faulo mpira haupo hivyo.

Refa wako mwenyewe hajihelewi,mara ya kwanza kabisa aliamua ni Offside huku mshika kibendera akirudi kati,mara baada ya kuzongwa akaamua ni faulo kwa kifupi alikuwa anabahatisha.

Kwa kifupi hata yy mwenyewe alikuwa hajui anaamua nini, ila angemsikiliza mshika kibendera sababu yy alikuwa sambamba na ile move na aliiona vizuri.
Wewe acha ubishi wa asili... Mpira ulishikwa kabla Refa hajapuliza filimbi, yaan baada ya Mpole kuanguka Refa hakuona kama ni faulo imetendeka, ndo maana akaweka faulo baada ya Mpole kuucheza mpira kwa kutumia mkono.
Hutaki endelea kukaza fuvu.
 
Wewe acha ubishi wa asili... Mpira ulishikwa kabla Refa hajapuliza filimbi ndo maana akaweka faulo kuelekea upande wa waliocheza mpira kwa mkono.
Hutaki endelea kukaza fuvu.
Wewe ndiye unayekaza fuvu, ww unazani kila mpira unaoshikwa ni faulo. Ina maana yule mshika kibendera aliyekuwa goli move ile mjinga, unakuwa kama kiazi.
 
Wewe ndiye unayekaza fuvu, ww unazani kila mpira unaoshikwa ni faulo. Ina maana yule mshika kibendera aliyekuwa goli move ile mjinga, unakuwa kama kiazi.
Wakati matukio yote yanatokea kati ya Refa wa kati na Mshika Kibendera nani alikua karibu zaidi kushuhudia matukio yote kwa usahihi?
 
Kwahiyo wewe unaona huo mkono upo kwenye eneo lake la asili hadi isiwe faulo?
Mtu kafanyiwa rafu, kapoteza control ya mwili ulitaka akianguka mikono aiweke vipi?

Kilicho mfanya abadili maamuzi ya faulo kutoka kuwa ya Azam mpaka kuwa ya Pamba ni nini?au alimsikiliza nani wakati mshika kibendera kishaita kati.

Mnabishana mpaka na video yaani ili mradi tu ubishe.
 
Mtu kafanyiwa rafu, kapoteza control ya mwili ulitaka akianguka mikono aiweke vipi?

Kilicho mfanya abadili maamuzi ya faulo kutoka kuwa ya Azam mpaka kuwa ya Pamba ni nini?au alimsikiliza nani wakati mshika kibendera kishaita kati.

Mnabishana mpaka na video yaani ili mradi tu ubishe.
VAR pia husababisha refa kubadili maamuzi, pengine nalo hujui
 
Back
Top Bottom