ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Azam Kwa usajili walifanya kuwaleta wa Colombia tulidhani watatoa changamoto Kwa Yanga kumbe ndo Iko uji hivi.
Azam fc wamekata tamaa
Wanacheza kama wachovu Kweli kweli.
Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya JKT TANZANIA
Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target hata 1
Azam hana hata corner 1
Azam FC badili benchi la ufundi mapema wanaweza kushuka daraja kabisa
Azam fc wamekata tamaa
Wanacheza kama wachovu Kweli kweli.
Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya JKT TANZANIA
Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target hata 1
Azam hana hata corner 1
Azam FC badili benchi la ufundi mapema wanaweza kushuka daraja kabisa