DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Hata nikiokota shilingi mia siwezi kumpa Azam kwenye mkeka mkuu... Ni Bora hiyo mia ninunue sigara japokua sivuti.Azam acheni ushamba mjue tumestake parefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata nikiokota shilingi mia siwezi kumpa Azam kwenye mkeka mkuu... Ni Bora hiyo mia ninunue sigara japokua sivuti.Azam acheni ushamba mjue tumestake parefu
Hata makolo wangeanza na timu ngumu hali ingekua kama hii ya azam,waishukuru bodi ya ligi kwa kuwapangia vibonde
We unategemea nini timu ilienda kuokota wachezaji huko Colombia, mara Gambia yaani hata msimu haujaisha. Hii timu inasikitisha.Sijabet
Azam wamepigwa pale yaani yule mchezaji dk za mwishoni amefanya utoto mpaka unajiuliza kweli huyu professional player au kituko.We unategemea nini timu ilienda kuokota wachezaji huko Colombia, mara Gambia yaani hata msimu haujaisha. Hii timu inasikitisha.
Katika timu ambayo hata nikisikia wamesajili mvp toka ulaya wala sishtuk na kuogopa ni hii timu haitishi na haitokaa itishe bla bla nyingi watapigwa sana hata na timu za Somalia.Azam Kwa usajili walifanya kuwaleta wa Colombia tulidhani watatoa changamoto Kwa Yanga kumbe ndo Iko uji hivi.
Azam fc wamekata tamaa
Wanacheza kama wachovu Kweli kweli.
Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya JKT TANZANIA
Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target hata 1
Azam hana hata corner 1
Azam FC badili benchi la ufundi mapema wanaweza kushuka daraja kabisa
Aliyesema hivyo ana akili sana.😂😂😂😂 Azamu wameandamwa, kuna jamaa kasema Azam ni kama mke wa mtu akikunyima huna pa kusemea, sasa hivi wamekuwa wajawazito😂😂😂