Team ya hovyo kabisa,ivi Hawa Jamaa hawajui kama tumebet😔😔Azam ni ovyo kabisa
Azam Kwa usajili walifanya kuwaleta wa Colombia tulidhani watatoa changamoto Kwa Yanga kumbe ndo Iko uji hivi
Azam fc wamekata tamaa
Wanacheza kama wachovu Kweli kweli au wajawazito.
Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya jkt TANZANIA
Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target hata 1
Azam hana hata corner 1
Azam fc badili benchi la ufundi mapema wanaweza kushuka daraja kabisa
Au hawamtaki dabo?Azam wachunguzwe, huu mpira wanaocheza leo una viashiria vya kupanga matokeo
Hakuna cha kuchoka uwezo wao ndo huobau wana mgomo baridi.Ni kama wamechoka sana, hawajapumzika. They don't look fresh
Inachana mikekaHii timu bwana 🚮🚮🚮
Mkeka umechanikaHakuna cha kuchoka uwezo wao ndo huobau wana mgomo baridi.
Msimu huu usiibetie AzamTeam ya hovyo kabisa,ivi Hawa Jamaa hawajui kama tumebet😔😔
Shika moyo Mkeka umechanikaAu hawamtaki dabo?
AmechanaDuh huyu jamaa wamemtoa wapi unakosaje pale dakika hizi🚮🚮