Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Azam FC wameachana rasmi na kocha wao mkuu Abdihamid Moallin pamoja na msaidizi wake Omary Nasser.
"Tumefikia makubaliano kwa pande mbili na Kocha wetu, Abdihamid Moallin pamoja na msaidizi wake Omary Nasser, kuachia ngazi kama kocha mkuu, na msaidizi mtawalia".
"Hata hivyo, makocha hao wataendelea kubaki kama sehemu ya idara ya ufundi klabuni kwetu katika nafasi nyingine ambazo tutazitangaza hapo baadaye".
"Kwa sasa timu itakuwa chini ya Daniel Cadena, ambaye ni kocha wa makipa hadi tutakapotangaza kocha mpya".
" Cadena ni kocha mwenye leseni ya juu kabisa ya ukocha, UEFA Pro License".
"Tumefikia makubaliano kwa pande mbili na Kocha wetu, Abdihamid Moallin pamoja na msaidizi wake Omary Nasser, kuachia ngazi kama kocha mkuu, na msaidizi mtawalia".
"Hata hivyo, makocha hao wataendelea kubaki kama sehemu ya idara ya ufundi klabuni kwetu katika nafasi nyingine ambazo tutazitangaza hapo baadaye".
"Kwa sasa timu itakuwa chini ya Daniel Cadena, ambaye ni kocha wa makipa hadi tutakapotangaza kocha mpya".
" Cadena ni kocha mwenye leseni ya juu kabisa ya ukocha, UEFA Pro License".