Azam FC yaachana na Kocha Mkuu Moallin pamoja na msaidizi wake

Azam FC yaachana na Kocha Mkuu Moallin pamoja na msaidizi wake

Hapo kwenye gadiola kushinda nbc akiwa na kikosi cha Ruvu shooting ni kumuonea. Mi nadhani wacheza wana nafasi kubwa kuliko kocha
Kocha ana nafasi kubwa sana. Yeye ndio ana set mipango yeye ndio ana recruit wachezaji (kwenye vilabu wanaojielewa). Kuja na mbinu zinazoendana na wachezaji ulionao na kiweza kuwapa motisha ya kuweza kujituma na kufikia kilele cha uwezo wao is the art of good management.

Angalia kikosi ambacho mourinho alishinda treble na inter...not so many talented players but aliweza kujenga winning mentality kwao. Sisi huku kwetu bongo hatuwezi appreciate kocha kwa sababu kwanza hutana project, nikimaanisha kwamba tunataka mafanikio pasipo kufanya kile mafanikio yanahitaji kutoka kwetu. Pili usajili wanafanya viongozi alafu wanasema mchezaji mali ya club na makocha ni mawakala. Hamna kocha mzuri duniani ataleta mambo ya uwakala kwenye kazi yake. Kocha wa ten percent ni kocha dugi.

Last but not least, lilia bahati!!! Ata katika recruitment ga kocha wamiliki wa timu wanaambia kuwa hiki kilengele ukiangalie🤣🤣🤣🤣
Nitakuoa mfano, sarri alijenga on of the best teams pale napoli, timu ambayo kila mtu alikuwa anatama i kuiona ikicheza. But they didnt win the scudetto.

Pep anajenga timu ambazo unakaa chini unaangalia mpira unasema huyu jamaa nyoko...genius, a man with racing brains when it comes to football but toka atoke barca uefa champions league linampiga chenga kila mwaka.
 
Kocha ana nafasi kubwa sana. Yeye ndio ana set mipango yeye ndio ana recruit wachezaji (kwenye vilabu wanaojielewa). Kuja na mbinu zinazoendana na wachezaji ulionao na kiweza kuwapa motisha ya kuweza kujituma na kufikia kilele cha uwezo wao is the art of good management.

Angalia kikosi ambacho mourinho alishinda treble na inter...not so many talented players but aliweza kujenga winning mentality kwao. Sisi huku kwetu bongo hatuwezi appreciate kocha kwa sababu kwanza hutana project, nikimaanisha kwamba tunataka mafanikio pasipo kufanya kile mafanikio yanahitaji kutoka kwetu. Pili usajili wanafanya viongozi alafu wanasema mchezaji mali ya club na makocha ni mawakala. Hamna kocha mzuri duniani ataleta mambo ya uwakala kwenye kazi yake. Kocha wa ten percent ni kocha dugi.

Last but not least, lilia bahati!!! Ata katika recruitment ga kocha wamiliki wa timu wanaambia kuwa hiki kilengele ukiangalie🤣🤣🤣🤣
Nitakuoa mfano, sarri alijenga on of the best teams pale napoli, timu ambayo kila mtu alikuwa anatama i kuiona ikicheza. But they didnt win the scudetto.

Pep anajenga timu ambazo unakaa chini unaangalia mpira unasema huyu jamaa nyoko...genius, a man with racing brains when it comes to football but toka atoke barca uefa champions league linampiga chenga kila mwaka.
Mi nilidhani mtoa comment anasema kocha amewakuta wachezaji
 
Hakuna kitu hapa,alikuja na upepo wa mapinduzi akajipigia kibonde Gori 9,azamu wakaisi Kuna mwl wa maana.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Hapa waliingia chaka...alafu bwana tatizo sie hatujui hii football industry.
Utafiti ulishafanywa na kuonyesha kwamba pale ambapo kocha mpya anaingia kwenye timu....the average point per match inapanda....meaning timu itafanya vizuri....but in many cases baada ya kama mechi nne itarudi to the orijino mean.
 
Back
Top Bottom