Pengine makocha wanaowaajiri uwezo wao haukudhi?Kuna mahali wanakosea kama Club maana wana kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengine makocha wanaowaajiri uwezo wao haukudhi?Kuna mahali wanakosea kama Club maana wana kila kitu
Uliona wapi ukocha ajira ya kudumu?Azam kuna sehemu wanakosea haiwezekani kila siku kufukazana tu.
Team masikini tu ndy zimevaa ule upuuzi.Hivi nao wamevaa bango la vigodoro?
Azam ni ya hovyo kabla hata ya hao wachezaji kuaimamiahwaKinacho Watafuna Azam Ni Laaana, Huwezi kusimamisha Wachezaji 4 wakongweee kisa wanadai Masilahi yao halafu utegemee utabaki Salama Haipo Hiyo Duniani.
Kifupi Jasho La Mtu haliliwi Bure. Watawaonea Tuu Makocha, Lakini Hiyo Suluhisho. Wale wachezaji 4 walio onewa na kudhurumiwa wana marafiki kwenye kikosi ambao kwa namna moja au nyingine hawawezi kuwa kwenye the same Performance. Kuongoza Timu haihitaji kutumia Nguvu kama Unaongoza Mbuzi.
Wasipo Jiangali hata kombe la AZam Watatoka Mapema Sanaa.
Walipeni wachezaji wa watu, na warudisheni uwanjani.
Kujifanya tawi la Simba aka Makolo mlibwanji ,shida inaanzia hapaAzam anakwama wapi,kilasiku anatimua timua tu.?.
Hakuna mchezaji anae dai pale Azam acha kuropoka vitu usivyo vijua, mbali na kusimamishwa wanalipwa mishahara yao na ni wachezaji watatu huyo wa nne ni nani wewe popomaKinacho Watafuna Azam Ni Laaana, Huwezi kusimamisha Wachezaji 4 wakongweee kisa wanadai Masilahi yao halafu utegemee utabaki Salama Haipo Hiyo Duniani.
Kifupi Jasho La Mtu haliliwi Bure. Watawaonea Tuu Makocha, Lakini Hiyo Suluhisho. Wale wachezaji 4 walio onewa na kudhurumiwa wana marafiki kwenye kikosi ambao kwa namna moja au nyingine hawawezi kuwa kwenye the same Performance. Kuongoza Timu haihitaji kutumia Nguvu kama Unaongoza Mbuzi.
Wasipo Jiangali hata kombe la AZam Watatoka Mapema Sanaa.
Walipeni wachezaji wa watu, na warudisheni uwanjani.
Hakuna mchezaji anae dai pale Azam acha kuropoka vitu usivyo vijua, mbali na kusimamishwa wanalipwa mishahara yao na ni wachezaji watatu huyo wa nne ni nani wewe popoma
Hapo tu.Kujifanya tawi la Simba aka Makolo mlibwanji ,shida inaanzia hapa