Azam FC yajiondoa Kombe la Kagame

Azam FC yajiondoa Kombe la Kagame

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Uongozi wa Azam FC umethibitisha rasmi kujiondoa kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2024 ambayo inatarajiwa kuanza rasmi mnamo Julai 6 mpaka 22-2024 kwenye shindano litakalofanyika Tanzania Bara pamoja Zanzibar.

Akizungumza kwenye mahojiano maalum na EATV,Meneja Habari na Mawasiliano wa Azam FC Thabit Zakaria amesema kutokana na uwepo wa ratiba ngumu inayowakabili kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2024-25 watashindwa kujiandaa kikamilifu kuelekea shindano la msimu huu.
 
KAGAME CUP ni michuano ya kisiasà tu, team inayojitambua haiwezi kushiriki huo upuuzi hata kipindi hiki muhimu cha kujiandaa na msimu ujao wa Ligi na Michuano ya kimataifa.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Ili timu ijiandae na msimu ujao wa ligi na michuano ya kimataifa ni mambo gani yanatakiwa wayafanye katika hayo maandalizi?
 
Uongozi wa Azam FC umethibitisha rasmi kujiondoa kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2024 ambayo inatarajiwa kuanza rasmi mnamo Julai 6 mpaka 22-2024 kwenye shindano litakalofanyika Tanzania Bara pamoja Zanzibar.

Akizungumza kwenye mahojiano maalum na EATV,Meneja Habari na Mawasiliano wa Azam FC Thabit Zakaria amesema kutokana na uwepo wa ratiba ngumu inayowakabili kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2024-25 watashindwa kujiandaa kikamilifu kuelekea shindano la msimu huu.
Safi sana.

Simba na Yanga nao wajiondoe, ilo kombe la kishenzi sana na aliyesababisha yote ni yule Mkenya anayeitwa Musonye
 
Uongozi wa Azam FC umethibitisha rasmi kujiondoa kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2024 ambayo inatarajiwa kuanza rasmi mnamo Julai 6 mpaka 22-2024 kwenye shindano litakalofanyika Tanzania Bara pamoja Zanzibar.

Akizungumza kwenye mahojiano maalum na EATV,Meneja Habari na Mawasiliano wa Azam FC Thabit Zakaria amesema kutokana na uwepo wa ratiba ngumu inayowakabili kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2024-25 watashindwa kujiandaa kikamilifu kuelekea shindano la msimu hy
Yanga ikijiondoa tu, Fisi wa Tifuatifua watatoka mapangoni sasa hivi
 
Kukataa mashindano naona ni kama ujinga flani, n kwann wasitumie hayo mashindano kama mechi za kuboresha kikosi, sasa hapo watasafiri kwenda nchi zenye mazingira tofauti na ya ligi yetu ety wanaenda kucheza mechi za kirafiki 🗑️
 
Unataka wapumzike hadi lini wakati mashindano yanaanza mwezi wa nane?
Unaniuliza mimi na wakati kila timu ina ratiba yake iliyojiwekea baada tu ya msimu kutamatatika? Kwani hayo mashindano yalikuwepo kwenye kalenda tangu mwanzo?
 
Uongozi wa Azam FC umethibitisha rasmi kujiondoa kushiriki michuano ya CECAFA Kagame Cup 2024 ambayo inatarajiwa kuanza rasmi mnamo Julai 6 mpaka 22-2024 kwenye shindano litakalofanyika Tanzania Bara pamoja Zanzibar.

Akizungumza kwenye mahojiano maalum na EATV,Meneja Habari na Mawasiliano wa Azam FC Thabit Zakaria amesema kutokana na uwepo wa ratiba ngumu inayowakabili kwa ajili ya kujiandaa na msimu mpya wa mashindano 2024-25 watashindwa kujiandaa kikamilifu kuelekea shindano la msimu huu.
Kwa ratiba gani ngumu ligi kuu ina timu 16 FA mechi 5 ligi ya mabingwa raundi moja wamejitoa sababu ya uoga tu!
 
Unaniuliza mimi na wakati kila timu ina ratiba yake iliyojiwekea baada tu ya msimu kutamatatika? Kwani hayo mashindano yalikuwepo kwenye kalenda tangu mwanzo?
Nimekuuliza wewe kwasababu umeandika comment ukiishauri timu ya Yanga nayo ijitoe li wachezaji na benchi la ufundi wapate muda mwingi wa kupumzika kwa ajili ya msimu ujao wa ligi.
Kwavile hoja yako ni kupumzika, Swali langu kwako Unataka je ungependa wapumzike hadi lini wakati mashindano yanaanza mwezi wa nane?
 
Nimekuuliza wewe kwasababu umeandika comment ukiishauri timu ya Yanga nayo ijitoe li wachezaji na benchi la ufundi wapate muda mwingi wa kupumzika kwa ajili ya msimu ujao wa ligi.
Kwavile hoja yako ni kupumzika, Swali langu kwako Unataka je ungependa wapumzike hadi lini wakati mashindano yanaanza mwezi wa nane?
Wapumzike na familia zao mpaka mwezi wa 7.
 
Back
Top Bottom