Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Sasa kama ni mpaka mwezi wa saba, kuna shida gani kushiriki haya mashindano ambayo pia yanaanza mwezi wa Saba kwa lengo la kujiandaa na mashindano yaliyopo mbele kama vile ligi kuu, klabu bingwa n.k? Hiyo ni sehemu ya preseason tena hauna hata haja ya kwenda nje ya nchi na unajipima nguvu na timu zingine zina hadhi ya kucheza nusu fainali klabu bingwa (TP Mazembe) hayo mashindano yamepangwa kwa wakati sahihi.Wapumzike na familia zao mpaka mwezi wa 7.
Sasa si itakuwa ni upuuzi unakata hayo mashindano halafu unaenda nje ya nchi kuomba mechi za kirafiki. Kule ulaya wanaanzishaga mashindano kama AUDI cup lengo ni kutumia kama pre season.