Azam FC yakubali kuvunja Mkataba na Prince Dube

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Screenshot_2024-06-28-23-18-47-324_com.instagram.android-edit.jpg


TAARIFA

Tunapenda kuutaarifu umma kwamba tumeridhia maombi ya Prince Dube kuvunja mkataba wake nasi, aliyoyatoa Machi 2024.

Hatua hii inafuatia kitendo cha mchezaji hiyo kutimiza matakwa ya kimkataba kama ilivyoanishwa kwenye vipengele vinavyoruhusu upande mmoja kuvunja mkataba.

Tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya soka na maisha kwa ujumla.

Imetolewa na Menejiment,
Azam Football Club,
Juni 28, 2024.

====


Pia Soma:

- Ndoa ya DUBE na Azam FC sheikh ni TFF, Hana mkataba?

- Azam yathibitisha kupokea ofa kutoka vilabu viwili vikimuhitaji Dube, Simba SC ikiwemo
 
Hii ni barua rasmi toka Azam Fc ikieleza kuachana rasmi na mchezaji wake Prince Dube baada ya taratibu za kuvunja mkataba kwa makubaliano ya pande mbili kukamilika. Azam imemtakia kheri Dube katika màisha yake ya soka.

Hatima ya muelekeo wa Dube itajulikana Leo jioni au Jumatatu asubuhi.

20240629_050130.jpg


TAARIFA

Tunapenda kuutaarifu umma kwamba tumeridhia maombi ya Prince Dube kuvunja mkataba wake nasi, aliyoyatoa Machi 2024.

Hatua hii inafuatia kitendo cha mchezaji hiyo kutimiza matakwa ya kimkataba kama ilivyoanishwa kwenye vipengele vinavyoruhusu upande mmoja kuvunja mkataba.

Tunamtakia kila la kheri katika safari yake ya soka na maisha kwa ujumla.

Imetolewa na Menejiment,
Azam Football Club,
Juni 28, 2024.
 
Umechelewa kiongozi




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mchezaji wa kila baada ya match mbili anaumia
Ila Azam nahisi kuna shida aidha kwa mazoezi, Mazingira au Daktari wao wa Viungo.

Azam majeruhi wengi mnoo, Allasane Diao, Bajana, Makipa wote, Sopu katoka juzi majeruhi, Dube mwenyewe etc.

Wote hao huwezi kusema ni Injury prone.
 
Katibu sana Twiga ma jangwani Dube aaahh basi Dube kazi sanaa mwakani....fireee
 
Jinga sana huyo. Kama demu, unataka kuondoka kihuni huni, namin kashatoa milioni 700
 
Back
Top Bottom