Azam fc yakwea kileleni VPL, wasema hakuna wa kuwashusha. Simba na yanga wagombee nafasi ya pili

Azam fc yakwea kileleni VPL, wasema hakuna wa kuwashusha. Simba na yanga wagombee nafasi ya pili

mjasiriamali mdogo

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
258
Reaction score
110
Azam FC imeifunga Rhino Rangers goli 1-0 nakufikisha point 33 huku Yanga akiwa na pointi 32 na Mbeya City 31 huku Simba akibaki nafasi yake ya 4.
 
azam fc imeifunga rhino rangers goli 1-0 nakufikisha point 33 huku yanga akiwa na pointi 32 na mbeya city 31 huku Simba akibaki nafasi yake ya 4.

.......Kweli maskini akipata ------ hulia bwataa!!!..aliyesema hivyo hakukosea hata kidogo, yaan mmeachiwa mmeanza kuchoka mapema hivyo? Just a different of one point tena mechi ya pili katika round ya pili...Angalia mkuu utachekwa hata na nyau za mitaan
 
.......Kweli maskini akipata ------ hulia bwataa!!!..aliyesema hivyo hakukosea hata kidogo, yaan mmeachiwa mmeanza kuchoka mapema hivyo? Just a different of one point tena mechi ya pili katika round ya pili...Angalia mkuu utachekwa hata na nyau za mitaan

Tofauti ni ndogo sana yaani ukijikwaa tu mwenzio yupo juu, bado mapema sana tusubili.
 
.......Kweli maskini akipata ------ hulia bwataa!!!..aliyesema hivyo hakukosea hata kidogo, yaan mmeachiwa mmeanza kuchoka mapema hivyo? Just a different of one point tena mechi ya pili katika round ya pili...Angalia mkuu utachekwa hata na nyau za mitaan

haya maneno ungeyaongea kipindi wazee wa Uturuki wakiwa kileleni ningekuona wa maana.
 
azam fc imeifunga rhino rangers goli 1-0 nakufikisha point 33 huku yanga akiwa na pointi 32 na mbeya city 31 huku Simba akibaki nafasi yake ya 4.
Tena mwaka huu tunavunja ile rekodi iliyo wekwa na mikia fc. Tunabeba ubingwa bila kupoteza hata mchezo mmoja.
 
.......Kweli maskini akipata ------ hulia bwataa!!!..aliyesema hivyo hakukosea hata kidogo, yaan mmeachiwa mmeanza kuchoka mapema hivyo? Just a different of one point tena mechi ya pili katika round ya pili...Angalia mkuu utachekwa hata na nyau za mitaan
Kwahiyo kwa akili yako unaimani utatuvuta shati? Unajiongopea.
 
Yaani utofauti wa point moja tu ndio kelele zote hizo...ndio kwanza mechi ya pili duru la pili
 
Yaani utofauti wa point moja tu ndio kelele zote hizo...ndio kwanza mechi ya pili duru la pili

Alikaa juu Yanga pale kwa tofauti ya point moja mkaanza kumuita bingwa tayari,leo hii amekaa Azam fc,mnaona ubaya tena😕
Kubalini tu jamani,sometimes mapenzi binafsi huaribu fikra.
Mtake msitake mtaipenda tuuu


"Nlikuwepo":bolt:
 

Attachments

  • 1391046486029.jpg
    1391046486029.jpg
    56.9 KB · Views: 90
Yaani utofauti wa point moja tu ndio kelele zote hizo...ndio kwanza mechi ya pili duru la pili

Waache wachonge, bado wana game ngumu sana, tema zote za nje, kwa forward ya kipre cheche peke yake ni hatari sana.
 
haya maneno ungeyaongea kipindi wazee wa Uturuki wakiwa kileleni ningekuona wa maana.

Hata kama ingelikuwa ndo hivyo aseno tiyari angelishakuwa bingwa lakin nayekashushwa na man city kwa hiyo kwa reason yako hiyo man city naye keshakuwa bigwa simply bcoz anaongoza EPL
 
Back
Top Bottom