Friction Force
Member
- Nov 2, 2016
- 64
- 48
Bao apige Azam ashki upate wewe,tulia basiGoli la kwanza tamu wewe, halafu goli hili lina ice-cream yenye ladha ya Vanilla. Utamu wake mtausikilizia mpk mnafika mitaa ya Msimbazi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bao apige Azam ashki upate wewe,tulia basi
Ushakikalia kaza kiuno hiko, ashki majinuni wewe.Bao apige Azam ashki upate wewe,tulia basi
Umepigwa goli 8 huna hamu kabisa na imekuwa sugu sijui ashki zinatoka wapiUshakikalia kaza kiuno hiko, ashki majinuni wewe.
Simba a.k.a Mikia fc ni timu bovu linalo shinda kwa bahati tu.Mpira dk 90 tusubir,nna imani na mnyama
Mshatuchawia nyie ndala hamna wema kabisaJamani eeeeeh?Simba wataniona mchawi sasa.
Niliwaambia hamchomoki kwa wazee wa lambalamba...
Heheeeeee
Ni mwendo wa [emoji485]
Asante Himid,asante Azam.
Mla, mla leo. Mla jana kala nini? Tulia dawa yenu iingie vizuri, hao ndio Azam, by the way dakika ngapi zimebaki? Maumivu ya kichwa huanza polepole hahahahaaaaUmepigwa goli 8 huna hamu kabisa na imekuwa sugu sijui ashki zinatoka wapi
Ahsante sana AzamJamani eeeeeh?Simba wataniona mchawi sasa.
Niliwaambia hamchomoki kwa wazee wa lambalamba...
Heheeeeee
Ni mwendo wa [emoji485]
Asante Himid,asante Azam.
[emoji112] [emoji112] [emoji112] [emoji23] [emoji23] [emoji112] [emoji112] [emoji23] [emoji23]Nikirud hapa simba atakuwa amepewa kombe lake,
Mtoto mzuri hivyo unashangilia hilo litimu ligumu vitu laini kama lambalamba hauvioni?Cna hamu. ..simba yngu Leo mweeh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dakika ya 81 sasa bado kero tu leo simba tumekufa