Azam FC yatwaa Ubingwa wa kombe la Mapinduzi 2017 baada ya kuifunga Simba SC 1-0

Huyu mtangazaji wa Zenji akiachiwa anapooza mchezo simba wanashindwa kusawazisha.
 
Jamani eeeeeh?Simba wataniona mchawi sasa.
Niliwaambia hamchomoki kwa wazee wa lambalamba...
Heheeeeee
Ni mwendo wa [emoji485]
Asante Himid,asante Azam.
Emb mimina hiyo kitu nikaze koo
 
Hata kombe la mapinduzi linawashinda ninyi mikia fc, maana hivi ndiyo vikombe vyenu mapinduzi, mtani jembe na vingine vya mchangani
 
Duh, kumbe fainali ni leo, baada ya kumtoa yanga mi niliacha kufuatilia haya mashindano.
 
Bado dakika 4 tu mpira uishe
Hahahahahaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiii
 
Azam taratibu azam,hawa jamaa (simba)hawachelewi kuvunja muungano
 
Hata kombe la mapinduzi linawashinda ninyi mikia fc, maana hivi ndiyo vikombe vyenu mapinduzi, mtani jembe na vingine vya mchangani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wakikosa hata hili lao la mchangani basi tena.
Wakirudi bara wajiandae wanaume wanarudi ktk nafasi yao.
 
Hahahahahaaaaa uwiiiiiiiiiiiiii
Mbio za sakafuniiiiiiiiiiiiiiii
Asanteni Azam
Niliwaambiaaaaa
Oyoooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…