Azam Ferry huu uhuni uliiofanyika sio mzuri kabisa, kataeni wateja kabla ya kukata tiketi

Azam Ferry huu uhuni uliiofanyika sio mzuri kabisa, kataeni wateja kabla ya kukata tiketi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Leo nimewapeleka wateja wanne toka Mozambique kwenda Zanzibar

Jana wakati nakata tiketi zao wakasema wanahitaji abcd, Tukapeleka zote

Leo wamepanda boti kwenda Zanzibar wanafika wanazuiwa hawana insurance

Huu ni uhuni sijawahi kuuona, kwanini mkate tiketi walipe hela zao

Mpaka baadae wazuiliwe wakiwa Zanzibar

Kwanini msiwaambie ukweli wanahitaji hiki na kile

Wakata tiketi wa Azam ni wahuni sijawahi kuona na muwaogope kama ukoma

Hata ukienda kwenye airline wanakwambia uwe na hiki na kile ukikamilishaa unapewa tiketi

Lakini hawa wahuni wanapokea hela za rtn tkt kwenda na kurudi watu wanne halafu mnajua wanarudia Zanzibar bandarini

Huu ni ushenzi na unyanyasajii wa kipuùzi

Najuta kuwapeleka wateja hawa kwenu pambafu
 
Ninavyojua ni kwamba issue ya insurance ni ya serikali ya SMZ, Azam Marine kazi Yao ni kukusafirisha kama umekidhi vigezo na ndio maana wageni wako wamefikishwa mpaka Zanzibar bandarini.

Niko tayar kurekebishwa.
 
Ninavyojua ni kwamba issue ya insurance ni ya serikali ya SMZ, Azam Marine kazi Yao ni kukusafirisha kama umekidhi vigezo na ndio maana wageni wako wamefikishwa mpaka Zanzibar bandarini.

Niko tayar kurekebishwa.

Lakini ingekuwa vema wateja wajue mapema. Na hiyo insurance ni ya kila anayeenda mpaka wazanzibar? Au watanganyika? Maana tukienda Zanzibar tunavyokuwa treated ni tofauti kabisa
 
Lakini ingekuwa vema wateja wajue mapema. Na hiyo insurance ni ya kila anayeenda mpaka wazanzibar? Au watanganyika? Maana tukienda Zanzibar tunavyokuwa treated ni tofauti kabisa
Hiyo lazima itakuwa ni kwa ajili ya foreigners tu watanzania haiwahusu kama niliyoyaelezea hapo juu ni sahihi basi hilo sio jukumu la Azam bali serikali ya SMZ kupitia wizara ya utalii .
 
Ninavyojua ni kwamba issue ya insurance ni ya serikali ya SMZ, Azam Marine kazi Yao ni kukusafirisha kama umekidhi vigezo na ndio maana wageni wako wamefikishwa mpaka Zanzibar bandarini.

Niko tayar kurekebishwa.
Sasa si wawaambie wateja, nijukumu la mtoa huduma kuisaidia serikali mambo kama hayo.
 
Sasa si wawaambie wateja, nijukumu la mtoa huduma kuisaidia serikali mambo kama hayo.
Utaisaidia serikali mambo mangapi? Wanakulipa? Kila mtu afanye yanayomuhusu .

Ila mm nahisi wahusika hawakuwa serious sidhani kama SMZ hawana sehemu ya kupata habari kama hizo kwa wageni wanaotaka kuja Zanzibar.
 
Utaisaidia serikali mambo mangapi? Wanakulipa? Kila mtu afanye yanayomuhusu .

Ila mm nahisi wahusika hawakuwa serious sidhani kama SMZ hawana sehemu ya kupata habari kama hizo kwa wageni wanaotaka kuja Zanzibar.
Lakini badala ya kuwarudisha, kwa nini serikali ya Zanzibar isiwe na dirisha hapo bandarini la kuwakatia bima wageni ambao hawana bima? Si wanakosa hela nyingi zaidi wageni wakirudi?
 
Lakini badala ya kuwarudisha, kwa nini serikali ya Zanzibar isiwe na dirisha hapo bandarini la kuwakatia bima wageni ambao hawana bima? Si wanakosa hela nyingi zaidi wageni wakirudi?
Tumuulize mtoa mada kipi kilishindikana mpaka wageni wake kurudishwa?

Pengine walipofika Zanzibar bandarini walipewa masharti yakawashinda hivyo kugeuza.
 
Ninavyojua ni kwamba issue ya insurance ni ya serikali ya SMZ, Azam Marine kazi Yao ni kukusafirisha kama umekidhi vigezo na ndio maana wageni wako wamefikishwa mpaka Zanzibar bandarini.

Niko tayar kurekebishwa.
Nilivyomuelewa mtoa mada, wamepokea malipo bila kuwafahamisha condition zingine kama hiyo insurance. Walipaswa kuwaambia mwanzo
 
Tumuulize mtoa mada kipi kilishindikana mpaka wageni wake kurudishwa?

Pengine walipofika Zanzibar bandarini walipewa masharti yakawashinda hivyo kugeuza.
Kwamba kama wamerudishwa tu kwa kukosa bima na sio kwa sababu ingine, inaonyesha udhaifu wa serikali ya ZNZ. Kwa nini kuwe na masharti mengine ambayo unayakuta bandarini ? Masharti yeyote inabidi uyaweke kwenye tovuti husika ya serikali.
 
Back
Top Bottom