Azam Group wawanyang'anya IPP wafanyakazi wa kumwaga


hao mbona cha mdoli?
 

chombo makini cha habari ni kile kinachoweza pata replacement ya wafanyakaz hata wakiondoka, kuhama kazi ni mambo ya kawaida sana hasa kwa ss wa sekta binafsi!!!
 
Mshahara siku zote hautoshi hata huko Azam Tv ikatokea Clouds Tv wanakuja na dau kubwa wanachapa mwendo kwani kampuni za kwao hata mimi nilipo nikipata dau juu na mazingira nikiahidiwa mazuri ning'ang'anie sehemu kwa lipi?
 

Nimesoma namna ulivyowasilisha imebid nicheke,, safi sana Mkuu!!
 
Watangazaji siwatofautishi na Mabaamedi pamoja na wanamuziki , wanakimbia kimbia kimbia kama Wadada wa Ambiance wakiona Pajero :sorry: but Maisha yao yanakuwa vile vile tu .....sana sana huyo Mahau-lidi ataongeza Mke na kujikuta Pesa bado haitoshi ! ITV Itabaki kuwa ITV tu hata aondoke nani they can be replaced by New peoples ....acha na wengine wapate Ajira
 
Nimesoma namna ulivyowasilisha imebid nicheke,, safi sana Mkuu!!

Soma na hapa pia.
https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/757504-baada-ya-kukosa-mkaliaji-rfa-kurudi-kwenye-kiti-chake-mtoto-wa-mama-sabuni-ndani.html#post11125935
 
Waliondoka akina Dr Misanya Bingi na bado ITV ipo palepale,wanachofanya ITV ni kuhakikisha mawe hayaondoki,pale ni kama Chuo cha Uandishi habari,utakuja malighafi utatoka dhahabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…