Azam hawajawa serious na soka ni kama kikundi cha ngoma kuburudisha kwenye sendoff

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Mmiliki alete uongozi mpya, alete mwalimu mpya aachane na hawa Watanzania wenye Usimba na Uyanga. Akiishi kwa mazoea, ubingwa hawezi kuupata. Kwa sasa wanaikamia Simba kwa vile Kocha ni Mwanayanga.

Siku akipewa Kocha Mwanasimba utaona Yanga inakamiwa. Mwekezaji atakuwa mpuuzi iwapo naye anafurahia haya na timu haina mafanikio.

Wachezaji wake ni wa kawaida sana, ni kama wa Ihefu tu.
 
sasa yeye mwenyewe ni simba,atafanya nini?
 
Wachezaji wake wa kawaida sana wakati wanakukanda kila mnapokutana ebho we jamaa vipi? Au kwa kuwa yanga inawakanda hao Azam ndiyo hasira yenyewe? Wanakandwa na timu inayowazidi ubora lakini wakikutana na timu lonya lonya ya kuunga unga kama simba ni kilio na kusaga meno!
 
Na kweli.
 
Mbna Yanga yenye ubora ilikandwa na hiyo simba unayoita lonnya lonya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…