DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,610
- 2,874
Azam siku hizi wamekuwa wa kawaida sana.JK alishawaonyaga kuhusu jambo hili LA kuiga simba na yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azam siku hizi wamekuwa wa kawaida sana.JK alishawaonyaga kuhusu jambo hili LA kuiga simba na yanga
Katika mazingira hayo hayo anatakiwa ashindeKocha aliyefukuzwa ndiye huyohuyo ambae aliiwezesha Azam kuongoza ligi kabla ya mechi na Yanga.
Yanga walifukuza kocha lakini matokeo yamebaki yaleyale ya ushindi mwembamba kila mechi. Mtibwa, Ihefu, Namungo, KMC, Mbeya City wamebadilisha mabenchi ya ufundi lakini matokeo kwenye club yamebakia yaleyale.
Nadhani shida sio makocha bali iko kwenye:
1. Ubora wa wachezaji wa timu. Wacheza wa Azam wana uwezo unaokaribiana na wale wa timu nyingine kwenye ligi.
2. Ubora wa timu nyingine, kila timu imesajili vizuri hivyo hakuna timu mbovu kabisa.
3. Maamuzi ya marefa. Marefa wetu sio wa kiwango cha juu pia hatuna assistant referee technology.
4. Viwanja vyetu baadhi sio vizuri.
5. Makocha wetu sio wale wa level ya EPL, uwezo wao unafananafanana.
6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
7. Matibabu ya wachezaji wanaoumia sio ya kiwango.
8. Kuna wachezaji ambao wanacheza kila mechi, hivyo wanachoka sana.
Hivyo kumfukuza kocha kunaweza kusilete tofauti kubwa inayokusudiwa.
Msameheni
Kwani Sasa hivi yanga wanacheza mpira wa burudaniYanga walimfukuza wakitafuta mfumo wa kampa kampa tena. Timu ilikuwa inashinda lakini Burudani hakuna.
Huo ndio ukweli, hata Azam media inakwenda vizuri kutokana na kuwa na viongozi kama akina Tido Mhando, Charles Hilary wenye utaalamu mkubwa wa uongozi wa media.6. Uongozi wa vilabu vyetu hawana taaluma ya kuongoza soka, wanabahatisha tu.
Mimi sio mtaalam wa mpira lkn kwa uzoefu wangu kwny namba 6-uongozi hapa ndo tunafeli sana sio kwny mpira tu, hata kwny taasisi nyingine ziwe za kidini, serikali au binafsi. Kwny uongozi thabiti matatizo mengi yanaweza kudhibitiwa. Naamini tatizo la Azam ni uongozi kwa sasa, azam ni timu ilikuja vzr kiasi tukaamini itazipita Simba na Yanga kwa margin kubwa lkn mpaka sasa inaonekana ni timu ya kawaida sana with all the investment achieved so far. Nadhan kwa busara tu uongozi wa sasa uachia madaraka waje wengine na mawazo mapya.