ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Bondia wa zamani ameshinda kesi dhidi ya Azam media kutumia utambulisho wake wa neno "vitasa" na kudai fidia ndefu
Azam wakaamuliwa kutukutumia ID ya vitasa hadi kumlipa fidia zake, ambazo ni haki yake kimsingi.
Azam Sasa wameususia mchezo ati kwakuwa wamefikishwa mahakamani na Sasa wanaotafuta huruma
Mambo ya mahakama hayana huruma
Tafuta I'd yenu achaneni na vitasa.
Azam wakaamuliwa kutukutumia ID ya vitasa hadi kumlipa fidia zake, ambazo ni haki yake kimsingi.
Azam Sasa wameususia mchezo ati kwakuwa wamefikishwa mahakamani na Sasa wanaotafuta huruma
Mambo ya mahakama hayana huruma
Tafuta I'd yenu achaneni na vitasa.