Azam hawezi kutumia jina lingine katika boxing hadi atumie "vitasa" ambayo ni ID ya mwamaluka

Azam hawezi kutumia jina lingine katika boxing hadi atumie "vitasa" ambayo ni ID ya mwamaluka

Huna unalolijua kumbe. Mwamakula hakuiita hiyo show vitasa. Isipokuwa mwamakula alipeleka proposal azam kwa jina la ngumi kazi kazi.

Proposal ilionyesha mtiririko mzima wa show itakavyokuwa. Azam waliipokea na wakamjibu kwa barua jamaa kwamba wanafanyia kazi for further steps.

Baada ya muda show ileile aliyopropose jamaa inaruka hewani lkn ikiwa na jina tofauti ila content na mtiririko ni uleule. Hapo ukiwa smart lazima upige pesa mzee.
Business law imefanya kazi. Kiukweli kama unavyosema kinachitakiwa ni maudhui na si memo (slogan)
 
Back
Top Bottom