Na kolo kabanduliwa na nani nje ndani?Kwani unawachukulia poa Azam kufungwa kila timu inafungwa hiyo Azam msimu huu imembandua yanga
Uto waliifunga lini Simba 7-2?au ndio mnajifariji kulipa kisasi cha 6-0?🐸🐸🐸Azam 2 - Yanga 1
Simba 3- Azam 0
Yanga 7- Simba 2
Soka baaana!
Ingekuwa hivyo mbona Azam alishamharibia Simba mara nyingi tu? Msimu aliopita unaukumbuka vyema?Azam na mbumbumbu ni mtu na shoga yake
iende zenji ili ukibaraka wa simba ukomeAzam inaonekana timu kubwa katika makaratasi lakini ukweli ni timu ndogo kutokana na viongozi waliopo na hata wajao.
Kuendelea kubaki kucheza mechi za ligi zinazoandaliwa na TFF kutaimaliza kabisa Azam. Hivyo ni vema ikahamia Zanzibar ambako itapata ufuasi mkubwa na kuna timu nyoronyoro ambazo Azam itazimudu.
Timu gani chini ya Kocha mpya haikuwa bora ilihali kila mchezaji huitaji namba? Subirini baada ya mechi 5 mfululizo ndipo muhemukwe kuwa Makolokolo ni bora [emoji847]Azam imetuumiza sana jana kufungwa na Simba. Nadhani ifutwe kabisa isiwepo kwenye Ligi.
Kwann Mwanitesa na si chelsiiYaani kama timu ya EPL mfano manchester ihamie kule sijui Scotland!