Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
nilitaka kushangaa uzifahamie wapi.......Zigoogle ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilitaka kushangaa uzifahamie wapi.......Zigoogle ..
Hahahhanilitaka kushangaa uzifahamie wapi.......
anyway wameshinda na huo ndio mpira ulivyoNliona kabisa hii match kuna kitu kipya ambacho si cha kawaida kwa hawa mbwas. Sijajua ni nani aliyewatonya mambo flani hawa mbwas.
Ilikuwa tuwachape 1 bila game iishe hivyo. Lakini kuna kitu walikifanya bila kutushirikisha. Inawezekana kuna kiongozi mmoja ni Mkia mule ndani jana alipata nafasi ya kutuharibia. Si kawaida kabisa. Azam wa jana si wa siku zote hawa mbwas.
Wametugeuka siku ya match wanacheza utadhani ni fainali? Itawasaidia nini sasa na kombe hawataweza chukua?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vyura mjiandae bado Mamelodi, msijali wao hawataka wakamia watawapaka poda tu na zile bleach zenu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eti babati ilikua upande wao... [emoji23]
Bandiko refuuuu ila mmepigwaa....