Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Hivi navyosemaga watanzania uwezo mdg ,unahisi natania?Hii Siyo Breaking Ni Habari Ya Kawaida
Ndiyo Ukweli WenyeweHivi navyosemaga watanzania uwezo mdg ,unahisi natania?
Hili nalo likatazamweNdiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Huyu ingewezekana angekuja Yanga basi tu. Usajili wa hizi timu zetu ni mihemko sana wakati mwingine.BREAKING NEWS:
Baada ya kukamilisha uhamisho wa Bangala kutokea Yanga huenda @azamfcofficial ikampunguza kiungo wao Isah Ndala ili kutimiza idadi ya wachezaji wa kigeni (12).
Taarifa zinaeleza kuwa Ndala hafit kwenye mfumo wa mwalimu mpya.
🎯 To be confirmed.
View attachment 2702077
Kabisa. Alikuwa anapoza mashambulizi sanandala ni mchezaji mzuri japo nguvu nyingi akili ndogo