Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
BREAKING NEWS:
Baada ya kukamilisha uhamisho wa Bangala kutokea Yanga huenda @azamfcofficial ikampunguza kiungo wao Isah Ndala ili kutimiza idadi ya wachezaji wa kigeni (12).
Taarifa zinaeleza kuwa Ndala hafit kwenye mfumo wa mwalimu mpya.
🎯 To be confirmed.
Baada ya kukamilisha uhamisho wa Bangala kutokea Yanga huenda @azamfcofficial ikampunguza kiungo wao Isah Ndala ili kutimiza idadi ya wachezaji wa kigeni (12).
Taarifa zinaeleza kuwa Ndala hafit kwenye mfumo wa mwalimu mpya.
🎯 To be confirmed.