Azam kufungua kesi,TFF kuipokonya Sumba magoli mawili ya offside na alama tatu

Azam kufungua kesi,TFF kuipokonya Sumba magoli mawili ya offside na alama tatu

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
 
Kengold wapeleka kesi Tff kuishitaki utodinyo kunyimwa goal halali pamoja nakuomba huo mwiko kuchomoa
FB_IMG_1723693412822.jpg
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Hebu rudi shule ukajifunze kwanza kuandika. Tumu, Sumba ndio nini?
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Kwanza hakuna kitu kama hicho,
Pili, hata wakipeleka malalamiko hayo wakasikilizwa na kushinda, atakayeadhibiwa ni mwamuzi, siyo Simba.
Labda kama wataituhumu Simba halafu wakathibitisha tuhuma zao kwa ushahidi usio na shaka.
 
Kwanza hakuna kitu kama hicho,
Pili, hata wakipeleka malalamiko hayo wakasikilizwa na kushinda, atakayeadhibiwa ni mwamuzi, siyo refarii.
Landa kama wataituhumu Simba halafu wakathibitisha
Umeelewa ulichoandika? Mwamuzi sio refarii?
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Azam tulichokibakisha ni kuhamia rasmi ZFF.
Kwa kuwa tumefanikiwa kurekebisha kanuni ili tucheze me hi za TFF kuchezwa Unguja basi tushinikize itungwe kanuni iruhusu timu ya vara icheze ligi ya ZFF.
 
Mm ni shabiki w Azam fc. Sasa uo mwandiko unawahi wapi?
All the best
 
Back
Top Bottom