Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abomination...🤭🤭🤭🤭🤭🤧🤧🤧🥸Kengold wapeleka kesi Tff kuishitaki utodinyo kunyimwa goal halali pamoja nakuomba huo mwiko kuchomoa
View attachment 3107984
Yaani hii wiki uto wanatesekaModerators piga ban huyu atafia jukwaani...
Tanzania Refa ni mmoja tu!ARAJIGA!anajiamini, haogopi, na anafanya maamuzi magumu ya halali!ila wengine hawa ni wazembe/wala rushwa/waoga/hawana maamuzi halali!Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card
Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
andikaga vizuri na wewe mara sumba mara tumu ya azamHongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card
Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Hiyo kesi kama timu inayoshtakiwa ni sumba basi Azam watashinda ila kama ni Simba hawashindi.Hebu rudi shule ukajifunze kwanza kuandika. Tumu, Sumba ndio nini?
Hata wana Yanga wenzako wenye akili wanakushangaa. Maamuzi ya refa uwanjani ni ya mwisho. Hakuna point za mezani.Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card
Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Labda Makolo mnauwazia huo mwiko kwasababu ndio mambo yenu. Sisi neno mwiko linamaanisha "never" lakini nyie linamaanisha mnayowaza na kutenda.Kengold wapeleka kesi Tff kuishitaki utodinyo kunyimwa goal halali pamoja nakuomba huo mwiko kuchomoa
View attachment 3107984
Unanitafuta ubaya mimi Sean Combs 'Puff Daddy'. Nina kesi ya kujibu ila wewe nawe unajilengesha. Sijui nikupake futa kabla sijafunguliwa lango la gereza?Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card
Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Kwa hiyo unahisi nimekosea kuandika?Hiyo kesi kama timu inayoshtakiwa ni sumba basi Azam watashinda ila kama ni Simba hawashindi.
Siwezi kutamka jina la hiyo timu, labda 5imbaandikaga vizuri na wewe mara sumba mara tumu ya azam
Azam walipigika🤭Azam alistahili ushindi kwa kile kijishuti kimoja alichopiga dakika ya 87?
Maamuzi hayawezi kuadilishwa!Kwanza hakuna kitu kama hicho,
Pili, hata wakipeleka malalamiko hayo wakasikilizwa na kushinda, atakayeadhibiwa ni mwamuzi, siyo Simba.
Labda kama wataituhumu Simba halafu wakathibitisha tuhuma zao kwa ushahidi usio na shaka.
Najua wabongo tuna ujinga…. Ila huu ni promaxHongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card
Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.