Azam kufungua kesi,TFF kuipokonya Sumba magoli mawili ya offside na alama tatu

Azam kufungua kesi,TFF kuipokonya Sumba magoli mawili ya offside na alama tatu

Hivi ile kesi ya uto na mamelodi uto walipewaga pwenti ..uto hamnaga akili.timu haina on target hata moja
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Tanzania Refa ni mmoja tu!ARAJIGA!anajiamini, haogopi, na anafanya maamuzi magumu ya halali!ila wengine hawa ni wazembe/wala rushwa/waoga/hawana maamuzi halali!
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
andikaga vizuri na wewe mara sumba mara tumu ya azam
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Hata wana Yanga wenzako wenye akili wanakushangaa. Maamuzi ya refa uwanjani ni ya mwisho. Hakuna point za mezani.
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Unanitafuta ubaya mimi Sean Combs 'Puff Daddy'. Nina kesi ya kujibu ila wewe nawe unajilengesha. Sijui nikupake futa kabla sijafunguliwa lango la gereza?
 
Azam alistahili ushindi kwa kile kijishuti kimoja alichopiga dakika ya 87?
 
Kwanza hakuna kitu kama hicho,
Pili, hata wakipeleka malalamiko hayo wakasikilizwa na kushinda, atakayeadhibiwa ni mwamuzi, siyo Simba.
Labda kama wataituhumu Simba halafu wakathibitisha tuhuma zao kwa ushahidi usio na shaka.
Maamuzi hayawezi kuadilishwa!
 
Hongera tumu ya Azam kwa kudhamiria kukomesha bahasha na wale wote wanaodhamiria kuvuruga mpira wa Tanzania. Ni matendo yanayopaswa kukemewa na mtanzania yeyote mzalendo na mpenda soka. Azam walistahili ushindi lakini kutokana na ubovu wa muamuzi, ambaye siku zote amekuwa na maamuzi mabovu katika michezo ya Sumba.
(i) Goli la Saadun ambalo muamuzi alisema ni offside wakati ni goli halali kabisa
(ii) Goli la kwanza la Sumba lililofungwa lilikuwa clear offside
(iii)Goli la pili pia lilikuwa clear offside
(iv)Faul aliyocheza Debora ilistahili yellow card

Maamuzi haya mabovu yanashangaza sana na kuibua maswali mengi yanayopelekea kuhoji juu ya ubora wa muamuzi huyu pamoja na wasaidizi wake.
Najua wabongo tuna ujinga…. Ila huu ni promax

Hata kupost tu haya mapupu ni insanity

N mtu mpumbavu sana anayeweza kuwaza huu upumbavu
 
Inaonesha hata kanuni za mpira wa miguu huzifahamu...
 
Back
Top Bottom