Azam Media LTD wameingia ubia na shirikisho la soka Uganda kuidhamini ligi kuu ya nchi hiyo ambayo itakuwa ikiitwa Azam Premier League kwa kitita cha USD 1.9 leo
Na wamesema wapo katika mchakato kuomba kibali kuonyesha ligi za Uingereza,Ufaransa na Spain
Naamin hapo kwenye red utakuwa umeacha kitu kama mil. au bil. zaidi ya hapo hongera zao...wakianza kuonyesha ligi za nje hasa uingereza na mimi ntahamia azam ..Azam Media LTD wameingia ubia na shirikisho la soka Uganda kuidhamini ligi kuu ya nchi hiyo ambayo itakuwa ikiitwa Azam Premier League kwa kitita cha USD 1.9 leo
Na wamesema wapo katika mchakato kuomba kibali kuonyesha ligi za Uingereza,Ufaransa na Spain
dola ngapi?????????? Are u kidding?