Msimu ujao kuna watu wataitafta top threeAnaitwa Ali Ahmada, amecheza vilabu kadhaa barani Ulaya ikiwemo Touluse ya Ufaransa.
Azam kama wapo siriazi hivi.
View attachment 2289015
Kosa liko wapi?Akili zao kama uto kumbe, wanachukua watu wa ulaya
Aliyesema kuna kosa ni nani?Kosa liko wapi?