Azam kuweni makini, Utopolo wamejaza waganga kibao Tanga, kazi mnayo jumatatu mkwakwani

Stori za vijiwe vya kahawa
 
Ulionyesha uboya mkuu

Pole sana [emoji23][emoji23]
 
Nasikia Azam wakishinda, basi club bingwa wataenda Yanga na Azam, alafu makolo wataenda kule wanapopaita kwa "loosers".

Maana club bingwa wanaenda mshindi wa ligi, na mshindi wa FA.

Makolo wanaitegemea Yanga!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…